BAVICHA: Tumesikitishwa na tunalaani kitendo cha BASATA kuufungia wimbo wa ‘MAMA'

Kumekucha !
 
Hao BASATA bado wapo na fikra za magufuli, nna uhakika Rais atawashinikiza BASATA wauruhusu uho wimbo wake NEY.
 
Hawa basata ni mbwa, wimbo mbona hauna tatizo lolote wapuuzi hawa
 
Samahani wakuu, hivi hawa BAVICHA pamoja na BAWACHA wao huwa hawana majukumu mengine ya kichama na labda ya kitaifa? Maana ukisikia haya majina mawili ujue ni tamko flani.
Hawana majukumu mengine tofauti na hili la matamko?
Unataka hadi wakienda kwenye majukumu yao ya kila siku wawe wanakutangazia.unashindwaje kujua kuna shughuli za kila siku na kuna taarifa kwa umma.
 
Sasa si wamwambie Mama Samia afungulie maana amesema anafungua nchi ndio wamwambie afungue na huo wimbo.
Mama atawakemea hawa wapuuzi wa BASATA, wana roho chafu Kama mwendazake, sijui wanahisi bado tupo mwenye utawala wa kiimla
 
Kuna taasisi zingine nikama hazina majukumu yakutosha.Sanaa yetu haina jambo lolote lamaana lakujivunia mambo mengine ni jitihada binafsi za wasanii na hilo baraza nadhani kazi kubwa wanayoweza ni kulumbana tu na wasanii kwa mambo madogo madogo tu ambayo yangeweza kutatulika kirahisi badala ya malumbano na kutunishiana mithuli isiyo na maana.Kwa mfano ukiusikiliza huo wimbo vizuri utagundua hauna jambo lolote baya ambalo ni hatari kwa jamii ya karne hii maana mambo yote yaliyoimbwa yako wazi.Nchi masikini na akili za kimasikini.
 
Kati ya wizara ambayo haija pata viongozi sahihi ni hii ya habari.
Mh. Rais aliagiza vyombo vya habari vilivyo funguwa kibabe vifunguliwe, hadi leo hamna utekelezaji. Ati waziri anataka wakutane washauriane.
Katibu mkuu nae anachagua chombo gani kipewe offer.

Yaani hawajui wana takiwa kufanya nini.
Hawa viongozi wanatakiwa waende kwao maana bado wanadhani huu ni wakati wa mwenda zake.
Hii Sukuma gang inatakiwa itupishe ssa
 
BASATA bado ipo ktk "MODE" ya mwendazake! Bado jinamizi la Jiwe linawaandama.
Nyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
 
Duh kama wimbo wenyewe upo tayari mtandaoni kuna nini tena hapo?
 
Shangazi Halima bado anaonekana kwenye vikao vya ukoo wakati alishatengwa na familia, inakuwaje hii mama?
 
Hii ndiyo sababu zinazosababisha tunahofia uhusiano na nchi kama Kenya kwa sababu ya kufungia uhuru wa watu wetu. Chombo kama BASATA hakina muda wa kuwainua wasanii bali kuwadhibiti na kuwakomoa na hivyo ndivyo Tanzania ilivyo. Walio juu kazi kubwa waliyonayo ni kuonyesha mamlaka na utukufu wa viti vyao.
Watanzania tunahitaji ukombozi, tunahitaji maombi, watu walioko maofisini hawana shida na maendeleo ya watanzania. Hawa ni watanzania wenzetu lakini wanaishi kama vile walizaliwa sayari tofauti. Tumuombee huyu mama wasije tu wakamuondoa duniani tukarudi kwenye ule limwengu wa kukomoana.
Sijui ni kwa nini utafikiri tumelogwa, watanzania wanatamani muuza maandazi azeeke huku akiuza maandazi tu tena kwenye ungo, tumejaa roho za kishirikina, hatuna muda wa kuwaza taifa linakwenda wapi, hapa tulipo tunasomesha watoto lakini hatujui hao walioko maofisini wataamua nini juu ya hatima ya watoto wetu.
Tanzania spika anajivunia uspika wake, mwalimu wa chuo naye anasema ninaweza kuwafelisha, yaani anataka aonyeshe yeye ni nani, polisi naye ,hakimu naye, kila aayepata cheo ni kilio kwa watanzania.
Nilishuhudia konda wa daladala naye anasema mimi mafuta yameishia hapa tafuteni gari nyingine wakati huo nauli ameshachukua na watanzania wanaondoka huku wakitia huruma. I hate this country sijui tumefanywa nini sisi.

MAMA SAMIA KAMA KWELI ANATAKA KULETA SULUHU TANZANIA AJUE KAZI ALIYONAYO NI KUBWA TENA SANA.
 
Aidha, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeruhusu uhuru wa mawazo, Ibara ya 18 (1) ”Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko
BAVICHA ni wajinga sana tena hawana akili hivi unaona huo wimbo haujakiuka hiyo katiba hapo juu ambayo umeiandika mwenyewe? kuna maneno ya uongo kuna uchonganishi yaani mnaleta ujinga ujinga wenu kama wa mdude yaani anatenda makosa ya jinai halafu mnamuita mfungwa wa kisiasa pumbavu nyie tushawachoka
 
Samahani wakuu, hivi hawa BAVICHA pamoja na BAWACHA wao huwa hawana majukumu mengine ya kichama na labda ya kitaifa? Maana ukisikia haya majina mawili ujue ni tamko flani.
Hawana majukumu mengine tofauti na hili la matamko?
Soma Katiba ya CHADEMA
 
usitetee ujinga bavicha ni wahuni tu sasa huo ni wimbo wakupigia kelele eti una maadili kweli? acheni ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…