BAVICHA: Tumesikitishwa na tunalaani kitendo cha BASATA kuufungia wimbo wa ‘MAMA'

BAVICHA: Tumesikitishwa na tunalaani kitendo cha BASATA kuufungia wimbo wa ‘MAMA'

"🎧🎤🎤🎤Mama! Baba alikua mkali mkali hata wenyewe unajua......🎶🎶🎶🎺"

Huu wimbo ni Bonge la sanaa... ila ndio msanii mwenyewe keshajua mtu mzima hakosei😅😅

Bigup kwako msanii NayWaMitego, wewe ni mkaliii




Afadhali alikua mkali na sio dhaifu...... aendelee kulala salama dad ake🙏

Sanaa yake ni kubwa sana.

Kampatia sana mama SASHA na ule ushungi.

Mama anachora ramani nyingine ya tanzania anaanza upyaaaaaaaaa
 
Inshu sio kusifia ccm, hujiulizi ni kwanini kibao kimegeuka?!wapinzani wanampenda Mama, wakati ma CCM, wanamchukia?kwani mama anatanguliza maslahi ya nchi kwanza badala ya ccm, na ndio kitu cha muhimu.Sasa ccm mnaumia kwani mlizoeshwa siasa za kishamba za kuona aliye na mawazo tofauti na mwenyekiti wenu ni mzandiki!!
Hivi nyie chadema huwaga mna kumbukumbu na maoni mnayotoaga siku za nyuma?ili kuwaaminisha Watanzania ni watu makini au Walaghai kipindi cha nyuma mlisema JPM anachukiwa na wanaccm wengi ndani ya chama leo tena mnakuja na staili ile ile kwangu mm nawaona kama wambea tu, wachonganishi na sio watu wenye mawazo kinzani yanayoweza kutoa matokeo chanya kwa mstakabali wa nchi yetu.
 
Hivi nyie chadema huwaga mna kumbukumbu na maoni mnayotoaga siku za nyuma?ili kuwaaminisha Watanzania ni watu makini au Walaghai kipindi cha nyuma mlisema JPM anachukiwa na wanaccm wengi ndani ya chama leo tena mnakuja na staili ile ile kwangu mm nawaona kama wambea tu, wachonganishi na sio watu wenye mawazo kinzani yanayoweza kutoa matokeo chanya kwa mstakabali wa nchi yetu.
Acha kutupa sifa bwana, watanzania tungekuwa makini , tungefanyiwa mambo ya KIHANISI kiasi kile?!!yaani nchi inaongozwa kutegemea na jamaa ameamkaje?!!hayo mawazo kinzani unayatoa vipi wakati kila kitu anakijua yeye mtukufu, anayefikiria kuwa upinzani ndio kikwazo kwa maendeleo ya nchi?!!muacheni mama afanye analoweza hii ni awamu yake ya sita, hajamshikia huyo god wenu, kubalini tu kuwa jamaa ameshatoka!!na ndio maana sasa hivi upinzani wake unaonekana toka kwa nyie wafuasi wa mwendazake!!kwani sasa amerudisha furaha kwa watz wengi sana, sio zile siasa za kishamba za miaka ya 60!!
Hivi nyie chadema huwaga mna kumbukumbu na maoni mnayotoaga siku za nyuma?ili kuwaaminisha Watanzania ni watu makini au Walaghai kipindi cha nyuma mlisema JPM anachukiwa na wanaccm wengi ndani ya chama leo tena mnakuja na staili ile ile kwangu mm nawaona kama wambea tu, wachonganishi na sio watu wenye mawazo kinzani yanayoweza kutoa matokeo chanya kwa mstakabali wa nchi yetu.
 
Watanyooka tu basata kazieni hapohapo tumesikilizishwa utopolo kwa muda mrefu.
Hahahaa!!basata chali, tuliwaambia hayo masheria yalitungwa ili kumfurahisha shetani, sasa hayupo na hao badala ya kujiongeza mwishoni wanaishia kuabika!!leo waziri amepiga stop utaratibu huo eti wimbo ukakaguliwe kwanza basata!!SHAME ON U
 
BARAZA

LA

VICHAA

umeona matokeo ya matamko ya unaowaita vichaa?
 
BAVICHA ni wajinga sana tena hawana akili hivi unaona huo wimbo haujakiuka hiyo katiba hapo juu ambayo umeiandika mwenyewe? kuna maneno ya uongo kuna uchonganishi yaani mnaleta ujinga ujinga wenu kama wa mdude yaani anatenda makosa ya jinai halafu mnamuita mfungwa wa kisiasa pumbavu nyie tushawachoka

Unaona matokeo ya ujinga wa bavicha?
 
Endeleeni kulaani hivyo hivyo mpaka siku ya mwisho
njoo huku siku ya mwisho imefika
 
Back
Top Bottom