BAVICHA wafumbia macho wizi wa billioni 7 ndani ya CHADEMA

BAVICHA wafumbia macho wizi wa billioni 7 ndani ya CHADEMA

Elitwege

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
5,294
Reaction score
10,970
Wadau amani iwe nanyi,

Ni jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa CHADEMA wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajiuzulu kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopta hewa badala yake sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi.

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje? BAVICHA amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu CHADEMA na hamna atakayewaamini tena.
 
Wadau amani iwe nanyi.

Ni Jambo la kusikitisha Sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama Chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa chadema wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajihudhuru kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopita hewa badala yake Sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi!!

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje?
Bavicha amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu chadema na hamna atakayewaamini Tena.


Huwezi kumsikia mtu makini akihoji matumizi ya bilioni 12 za ruzuku ya ccm ambazo hazina vielelezo,mtu makini anaelewa kuwa ruzuku ya chama kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa #5 ya 1992 ni kwa ajili ya Political Administration,ujenzi wa chama,program za chama,harakati za chama kamamikutano,makongamano na mengineyo.

Ruzuku ya chama si kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ya Taifa letu,ruzuku ya chama haijadiliwi na kupitishwa bungeni,ni kwa mujibu wa kanuni,hutokana na asilimia za matokeo ya uchaguzi mkuu.

Hoja yangu haitetei ubadhirifu ndani ya vyama,ubadhirifu vyamani ushughulikiwe kwa mujibu wa sheria,lakini usifanywe kama ngao ya kukinga matumizi mabaya ya fedha za umma zilizopotea serikalini wakati fedha hizo ndizo zinazopaswa kutumika katika utekelezaji wa miladi ya Maendeleo.

Tukihoji mbona ripoti ya CAG inaupotevu mkubwa wa fedha za umma,Jibu lao hata chadema wamepata hati chafu. Wanasahauruzuku za vyama si za kununulia dawa, kutuletea maji safi wala kujenga miundo mbinu, Lakini hizo bilioni 1500 zilizo yeyuka ndio ilikuwa kaziyake.Bilioni 1500 zingewezakutumika katika miladi ya maendeleo ambayo ingesaidia kuinua hali za watanzania,kupoteakwake bila maelezo ya kina kunatulazimishatuhoji zilipoenda.Tuendelee kuhojiana!
 
Wadau amani iwe nanyi.

Ni Jambo la kusikitisha Sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama Chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa chadema wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajihudhuru kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopita hewa badala yake Sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi!!

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje?
Bavicha amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu chadema na hamna atakayewaamini Tena.
Msikwepe elezeni kwanza zilipo trn 1.5, tangu kuumbwa kwa Tanzania haijawahi kutokea ufisadi mkubwa kama huu.
 
Wadau amani iwe nanyi.

Ni Jambo la kusikitisha Sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama Chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa chadema wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajihudhuru kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopita hewa badala yake Sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi!!

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje?
Bavicha amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu chadema na hamna atakayewaamini Tena.
Tukishajua trilioni 1.5 ilipo ni rahisi kujua billion 7 iko wapi maana mkubwa kala nyingi so hana moral outhority ya kuuliza hiyo bi 7 ilipo laiti kwake kusingekua na loss ya 1.5trl uuuuwiiii cpati c ajabu angeagiza chadema wafutwe dunia..utasikia mi nahangaika wao wanaiba nawangalia tu hafu nacheka ehiiiiiiiiiiiiii
 
Tukishajua trilioni 1.5 ilipo ni rahisi kujua billion 7 iko wapi maana mkubwa kala nyingi so hana moral outhority ya kuuliza hiyo bi 7 ilipo laiti kwake kusingekua na loss ya 1.5trl uuuuwiiii cpati c ajabu angeagiza chadema wafutwe dunia..utasikia mi nahangaika wao wanaiba nawangalia tu hafu nacheka ehiiiiiiiiiiiiii
Hamna wizi mdogo
 
Wadau amani iwe nanyi.

Ni Jambo la kusikitisha Sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama Chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa chadema wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajihudhuru kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopita hewa badala yake Sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi!!

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje?
Bavicha amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu chadema na hamna atakayewaamini Tena.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] tanzania ya sasa kweli imebadirika yaan mtu unakomaza shingo kwa kuuliza billion 7 ziko wapi wakati kuna mtu amekula bilion 1500 na bado anasema tumuombeee
 
Lazima tujadiri Trion ilipo ndio inayo tuhusu, hiyo ya Chadema watajuana wao na Mbowe wao, Trion ya madawa na Barabara iko wapi?

ya Chadema ni rahisi tu, tunaangalia makusanyo ya Ada za wanachama ni ngapi, Ruzuku ni ngapi tunajumlisha kama inatofautiana na matuzi, hii Trion imeshapotea tunataka kujua iko wapi? kama ndio iliyonunua Wabunge na Madiwani na akina Tumbili si mseme?
 
Laiti msingekwapua Tril 1.5, nazani mgewauwa wanachadema wote.
Tokea lini ukasikia mwenye mali kajiibia,Chadema ndio wezi,tena msajili wa vyama akifungie kufanya siasa kwa muda wa miaka ishirini.
 
Wadau amani iwe nanyi,

Ni jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa CHADEMA wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajiuzulu kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopta hewa badala yake sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi.

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje? BAVICHA amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu CHADEMA na hamna atakayewaamini tena.
1.5 trillion mmepeleka wapi?
 
Majizi ya Chadema kiama chao kimefika.
Ila majizi ya nchi kiama chao bado hakijafika. Yaani CHADEMA wamekula hela ya ruzuku wala sio shida sana ila nyinyi mliokula hela za kununulia dawa na kufanya maendeleo ya nchi inabidi mtafutie msalaba wa kusulubiwa.
 
Ujinga ni mini


Ujinga ni kutaka tujadili billion 7 ambazo ni kwa ajili ya chama na tuache billion 1500 za manufaa ya nchi nzima
 
Wadau amani iwe nanyi,

Ni jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa CHADEMA wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajiuzulu kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopta hewa badala yake sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi.

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje? BAVICHA amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu CHADEMA na hamna atakayewaamini tena.
Awamu hii hakuna ufisadi kabisa hii 1.5 trillion ni udokozi tu
Screenshot_2018-04-18-07-53-53.jpg
 
Wadau amani iwe nanyi,

Ni jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa CHADEMA wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajiuzulu kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopta hewa badala yake sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi.

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje? BAVICHA amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu CHADEMA na hamna atakayewaamini tena.
CCM mmechukua hatua gani hapa kwa huu ufisadi??
FB_IMG_15239867002388431.jpg
 
Back
Top Bottom