yakowazi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 1,765
- 624
ndio maana na nyie mkalipiza kwa 1.5tr auNi jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio maana na nyie mkalipiza kwa 1.5tr auNi jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.
Badilisha heading isomeke uvccm uashindwa kuwawajibisha viongozi wa ccm juu ya ulaji wa sh. 12 bilioni na nyingine trillion 1.5 hazijulikani zilipo! Hivi baada ya miaka mitano ya uongozi wao kuisha hazina itakuwa na pesa kweli? Usikwepe kuwauliza hao wenzako kwani 7 na 12 ipi kubwa?Wadau amani iwe nanyi,
Ni jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.
Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa CHADEMA wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajiuzulu kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopta hewa badala yake sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi.
Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje? BAVICHA amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu CHADEMA na hamna atakayewaamini tena.
Mwenye mali ni mimi ninayelipa kodi na siyo ccm inayosubiri nitafute ndio ijigawie na kuitafuna kwani siwalipi ili wale bali wafanyie maendeleo! Eti mwenye mali hajiibii! Lini ccm hazina ikawa mali yenu?Tokea lini ukasikia mwenye mali kajiibia,Chadema ndio wezi,tena msajili wa vyama akifungie kufanya siasa kwa muda wa miaka ishirini.
Wewe lipa nenda zako unahojihoji nini?!!Mwenye mali ni mimi ninayelipa kodi
Chadema wezi saana. Halafu wanajikausha kama sio wao vile.Wadau amani iwe nanyi,
Ni jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.
Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa CHADEMA wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajiuzulu kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopta hewa badala yake sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi.
Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje? BAVICHA amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu CHADEMA na hamna atakayewaamini tena.
Majizi ya ccmMajizi ya Chadema kiama chao kimefika.
Ccm ni wezi wa kudumuMajizi ya Chadema kiama chao kimefika.
True .... zisingekuwa hizi 1.5 Trillion sawa hivi PCCB wangekuwa wamepiga kambi Ufipa naakina Mbowe wangekuwa wamerudishwa Segerea.Laiti msingekwapua Tril 1.5, nazani mgewauwa wanachadema wote.