BAVICHA wafumbia macho wizi wa billioni 7 ndani ya CHADEMA

BAVICHA wafumbia macho wizi wa billioni 7 ndani ya CHADEMA

Majizi ya Chadema kiama chao kimefika.
Hapa hawa wamefanya nini au kwa vile ni bwana zako huwasemi
FB_IMG_15239867002388431.jpg
 
Acha hoja dhaifu kwa point za msingi





Hizo bil 7 zilizopotea chadema bas jua ccm ni zaid




Apa tuanze na za nchi za chadema tutarudi
Usafi wa chadema uko wapi Hadi wahoji wizi wa wengine wakati na wao ni wezi wa billion 7
 
Huwezi kumsikia mtu makini akihoji matumizi ya bilioni 12 za ruzuku ya ccm ambazo hazina vielelezo,mtu makini anaelewa kuwa ruzuku ya chama kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa #5 ya 1992 ni kwa ajili ya Political Administration,ujenzi wa chama,program za chama,harakati za chama kamamikutano,makongamano na mengineyo.

Ruzuku ya chama si kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ya Taifa letu,ruzuku ya chama haijadiliwi na kupitishwa bungeni,ni kwa mujibu wa kanuni,hutokana na asilimia za matokeo ya uchaguzi mkuu.

Hoja yangu haitetei ubadhirifu ndani ya vyama,ubadhirifu vyamani ushughulikiwe kwa mujibu wa sheria,lakini usifanywe kama ngao ya kukinga matumizi mabaya ya fedha za umma zilizopotea serikalini wakati fedha hizo ndizo zinazopaswa kutumika katika utekelezaji wa miladi ya Maendeleo.

Tukihoji mbona ripoti ya CAG inaupotevu mkubwa wa fedha za umma,Jibu lao hata chadema wamepata hati chafu. Wanasahauruzuku za vyama si za kununulia dawa, kutuletea maji safi wala kujenga miundo mbinu, Lakini hizo bilioni 1500 zilizo yeyuka ndio ilikuwa kaziyake.Bilioni 1500 zingewezakutumika katika miladi ya maendeleo ambayo ingesaidia kuinua hali za watanzania,kupoteakwake bila maelezo ya kina kunatulazimishatuhoji zilipoenda.Tuendelee kuhojiana!
Ndio maana kawauliza Bavicha sababu wao wapo ndani ya chama.
 
Wadau amani iwe nanyi,

Ni jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa CHADEMA wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajiuzulu kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopta hewa badala yake sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi.

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje? BAVICHA amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu CHADEMA na hamna atakayewaamini tena.
TUNATAKA KUJUA 1.5 TRILLION MMEZIFANYIA NINI?
 
Wadau amani iwe nanyi,

Ni jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa CHADEMA wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajiuzulu kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopta hewa badala yake sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi.

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje? BAVICHA amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu CHADEMA na hamna atakayewaamini tena.
Ondoa boriti kwenye jicho lako kwanza.
 
Ila mpaka leo nashangaa sana hivi huyu aliyechukua 1.5 t amefanyia nin mana kwanza ni mshamba so hata kula bata hajui sasa sijui kapeleka wapi
 
Chadema nao waitishe waandishi wa habari waseme fedha zilipo?!!
 
Wadau amani iwe nanyi,

Ni jambo la kusikitisha sana vijana wa chama mbadala wa chama tawala kufumbia macho wizi ndani ya chama chao.

Wananchi walitarajia kuwaona vijana wa CHADEMA wakiwa wamechachamaa kuwataka viongozi wao wajiuzulu kupisha uchunguzi wa wizi wa kununua helkopta hewa badala yake sasa wanawalinda na kuwakingia kifua hao wezi.

Kama wanalindana hivi kabla ya kushika dola, je wakiingia madarakani itakuwaje? BAVICHA amkeni kwa kulinda wezi mnaharibu CHADEMA na hamna atakayewaamini tena.
Kama unachoongea ni chakweli weka picha ya helkopta hewa tuione ili tuweze kukuamini.
 
Ni mwehu tu anaweza kuacha kuulizia trilion 1.5 yake akaenda kuulizia bilion 7 za watu.
Ndo maana mimi sijasumbuka kuulizia b 12 za cxm kwa sababu najua hazinihusu
 
Back
Top Bottom