Pre GE2025 BAVICHA walipuka kwa shangwe Lissu akiingia Ukumbini. Kwa shangwe hili, Freeman Mbowe atatoboa kweli?

Pre GE2025 BAVICHA walipuka kwa shangwe Lissu akiingia Ukumbini. Kwa shangwe hili, Freeman Mbowe atatoboa kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:

- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo

- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu

BAVICHA baada ya kulipuka ukumbini, Lissu amewapa posho?
 
Kuna wana Chadema wa aina mbili, kuna watu ambao ni binadamu na wana ubongo wa kufanya maamuzi, na kuna wengine machoni ni kama watu ila wana akili ya nyumbu, hivyo hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!. Hata Lowassa alishangiliwa hadi kuimbiwa tuna imani na Lowassa, ila baada ya kukatwa, hawakuonekana tena!.
Tena hata mimi kwenye kura za maoni Kawe, nilipotajwa tuu jina langu, Pasco Mayalla, ukumbi ulilipuka kwa kushangiliwa, njoo kwenye kura!.
P
Usifananishe ccm na cdm
 
Kuna wana Chadema wa aina mbili, kuna watu ambao ni binadamu na wana ubongo wa kufanya maamuzi, na kuna wengine machoni ni kama watu ila wana akili ya nyumbu, hivyo hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!. Hata Lowassa alishangiliwa hadi kuimbiwa tuna imani na Lowassa, ila baada ya kukatwa, hawakuonekana tena!.
Tena hata mimi kwenye kura za maoni Kawe, nilipotajwa tuu jina langu, Pasco Mayalla, ukumbi ulilipuka kwa kushangiliwa, njoo kwenye kura!.
P

Yote sawa, lakini ndo upate kura moja Pasco! Walikuibia mkuu. 😁
 
CCM wanajua ila hawataki mtu wao azame ni kitendea kazi chao.
Kwamba Lissu wakimtaka atachomoa?

Kwanza tunajuaje Kama sio among infantrymen wao, sasa zamu yake imejongeshwa?

It’s too good to be true, kuna wapiga zumari kando kabisa…hawa wacheza ngoma tu na nyie ndio mashabiki Uchwara.

Tanzania’s famous Polishits!
 
Tena hata mimi kwenye kura za maoni Kawe, nilipotajwa tuu jina langu, Pasco Mayalla, ukumbi ulilipuka kwa kushangiliwa, njoo kwenye kura!.
P
1736805134325.png
 
Kuna wana Chadema wa aina mbili, kuna watu ambao ni binadamu na wana ubongo wa kufanya maamuzi, na kuna wengine machoni ni kama watu ila wana akili ya nyumbu, hivyo hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!. Hata Lowassa alishangiliwa hadi kuimbiwa tuna imani na Lowassa, ila baada ya kukatwa, hawakuonekana tena!.
Tena hata mimi kwenye kura za maoni Kawe, nilipotajwa tuu jina langu, Pasco Mayalla, ukumbi ulilipuka kwa kushangiliwa, njoo kwenye kura!.
P
Hapo kuna utofauti mkuu. Kumbuka Lowassa hakupewa nafasi ya kupigiwa kura. Unadhani wasingemkata kuna mtu angemshinda?
 
Hao vijana ukute wameaga kabisa nyumbani kwao kwamba wanaenda kazini.
Kazi yenyewe ndo hii.
 
Kuna wana Chadema wa aina mbili, kuna watu ambao ni binadamu na wana ubongo wa kufanya maamuzi, na kuna wengine machoni ni kama watu ila wana akili ya nyumbu, hivyo hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!. Hata Lowassa alishangiliwa hadi kuimbiwa tuna imani na Lowassa, ila baada ya kukatwa, hawakuonekana tena!.
Tena hata mimi kwenye kura za maoni Kawe, nilipotajwa tuu jina langu, Pasco Mayalla, ukumbi ulilipuka kwa kushangiliwa, njoo kwenye kura!.
P
Hebu rudia tena.
 
Hebu rudia tena.
Nimekubali matokeo, Chadema zile akili nyumbu zimewatoka wakafanya uamuzi.
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
 
Back
Top Bottom