LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
labda assist ya kukiua chama hicho kwa mikono ya sultanNasikia CCM na TISS watatoa assist ya fedha na manpower kwa Sultan ndiyo uhakika alionao Pasco.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda assist ya kukiua chama hicho kwa mikono ya sultanNasikia CCM na TISS watatoa assist ya fedha na manpower kwa Sultan ndiyo uhakika alionao Pasco.
Wakati wa Mungu ukifika mwanadamu hawezi kuzuia.nyakati zinamsukuma nje pamoja na assist ya dola
wewe!Mungu wetu ni mwaminifu kama ilivyokuwa March 2021 ndivyo itakuwa tena mwaka huu.
When ?Not this time
mkaa wa motoSafari hii wataukalia.
Na ndiyo mpango ulioko nyuma ya pazia,Sultan mwenyewe anaona Samia anamsaidia kumbe anamtumia kumnyooshea njia October. Konyagi zimemharibu sana Sultan.labda assist ya kukiua chama hicho kwa mikono ya sultan
Ndiyo, wao wana bunduki,mabomu na vifaru sisi tuna Mungu muumba wa mbingu na ardhi.wewe!
Kaka nakumbuka jinsi ulishangiliwa sanaaa kwenye kura za maoni jimbo la kawe🤣🤣🤣🤣🤣Kuna wana Chadema wa aina mbili, kuna watu ambao ni binadamu na wana ubongo wa kufanya maamuzi, na kuna wengine machoni ni kama watu ila wana akili ya nyumbu, hivyo hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!. Hata Lowassa alishangiliwa hadi kuimbiwa tuna imani na Lowassa, ila baada ya kukatwa, hawakuonekana tena!.
P
Mzee hili jibu limetoka ndani kabisa, I can feel it.@Mshana JrMimi sio mganga wewe boya
nyingi sana siku zilizobakiTuna wiki moja tu ya kumaliza huu ubishi
Sijui kwanini watu hawakubali kunyakati na watu hubadlika.Not this time
umemuacha mdeeVipi utarudi kawe kupambana na Gwajima na Furaha Dominic?
mpaka na wanaccm wanamkubaliLisu anakubalika na jamii kwa sasa
Tena ni NGOs zisizo na shughuli za kuelewekaUkikaa muda mrefu watu wanakuchoka, leo hii CUF, UDP, TLP huwezi jua hata kama kuna uchaguzi maana siyo vyama tena ni NGOs fulani
Sababu ya ujinga waoTena ni NGOs zisizo na shughuli za kueleweka
BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:
- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tund
Eti niliota Lissu anagombea Urais alaf wagombea wakawa na midahalo ya liveBAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:
- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
Sio tapeli ni Mda kaka Mbowe mda wake umeisha suala la kukubaliana na mda uwa ni gumu sana hata kwenye life la kawaidaDah mganga wa Lissu kiboko
Lowassa hakufika hatua ya kupigiwa kura alienguliwa,labda na Lissu naye wamuengue lakini kwa box itakuwa ngumu sana.Hata Lowassa alishangiliwa hivyo hivyo enzi zile, ila maamuzi ya kura yalitoka kwenye boksi la kura.
kwa shangwe zile lowassa ilikuwa wa kushindwa?Kwahiyo LOWASSA alishinda , maana aliongoza kwa shangwe.