Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah ukweli mwingine ufanywe siri kulinda bandama za wengi.😂Unajipigia promo 😂😂😂
Unaujua mchezo kakaNyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
Habari ndiyo hiyo nguruwe nyie mnaona mna hati miliki ya nchi hii pumbavu kabisaAlisikika delude person mmoja akitokwa na kauli zisizo na ufahamu wa Hali halisi
Poyoyo wewe hapo na ukoo wako wotevijana poyoyo tu hawana lolote
huo ushangiliaji ni wa kweli si unafikiNyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
Mganga wa Lissu Ni Muda (TIME) tu Mkuu, yani statesman kama Freeman Mbowe ameshindwa kabisa kusoma alama za nyakatiKweli kabisa, mganga wa Lissu anaonekana kuwa na uwezo wa kipekee! 😄
CCM wanajua ila hawataki mtu wao azame ni kitendea kazi chao.huo ushangiliaji ni wa kweli si unafiki
Wakili msomi mbona huna furaha kwa TAL kugombea?Nyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
kura huonekana mapemaSubirini box la kura
kama wanafanya unafiki itakula kwaoUnaujua unafki wa walimwengu wewe
Utatukana hadi uchokeHabari ndiyo hiyo nguruwe nyie mnaona mna hati miliki ya nchi hii pumbavu kabisa
si kirahisi hivyo, ni shughuli pevuCCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
labda patokee udanganyifuAnaweza asione hata kura aliyojipigia mwenyewe
Si umeanza wewe kutoa maneno ya kuudhi ilitaka ni kuambie hewalah? We unajiona unayo haki ya kutukana wengine? Kafie mbali hukoUtatukana hadi uchoke
kakasirika kinyamaMkuu mshana jr kumbe na wewe huwa unakasirika
Mungu akiamua kuingilia kati hakuna wa kuzuia. Kuna mtu alitaka kubadili katiba atawale milele leo hii yuko ananing'inizwa huko.si kirahisi hivyo, ni shughuli pevu
Ukimaliza kutukana akili inarudiSi umeanza wewe kutoa maneno ya kuudhi ilitaka ni kuambie hewalah? We unajiona unayo haki ya kutukana wengine? Kafie mbali huko