Pre GE2025 BAVICHA walipuka kwa shangwe Lissu akiingia Ukumbini. Kwa shangwe hili, Freeman Mbowe atatoboa kweli?

Pre GE2025 BAVICHA walipuka kwa shangwe Lissu akiingia Ukumbini. Kwa shangwe hili, Freeman Mbowe atatoboa kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:

- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo

- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu

MAPOKEZI YA MBOWE NA BAVICHA LEO, MLIOMSIFIA LISU MKUJE
 

Attachments

  • MBOWE.mp4
    4.6 MB
Unaijua hela wewe? Lissu ni mshindi tayari, tatizo ni….

Box la kura (jeusi la kiafrica) ndio kimbembe.
Mkumbushe Dr. Mvungi rip alipogombea Urais alishangaa sana kuwa kwenye kituo cha kupigia kura anapoishi yaani pale UDSM hall 5 aliishia kupata kura kiduchu mno ambazo ni chini hata ya idadi ya wanafamilia wake ambao walipiga kura. Kwa kifupi alishangaa imekuwaje inaonekana hata wanafamilia yake hawakumpigia kura!!!

Lissu kwa maana ya mitandaoni ni mshindi ila kwa wajumbe kazi ni ngumu sanaaaaa
 
BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:

- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo

- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
Lisu anakubalika na jamii kwa sasa
 
Back
Top Bottom