Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, siasa zinaweza kuwa na sura mbili; shangwe za leo si lazima ziakisi matokeo ya mwisho. Mwisho wa siku, uamuzi upo mikononi mwa wapiga kura, na lolote linaweza kutokea.Nyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
Kweli kabisa, mganga wa Lissu anaonekana kuwa na uwezo wa kipekee! 😄Dah mganga wa Lissu kiboko
Wajumbe ndio walivo kama malaya malaya ngoja siku wakutane na Mbowe utagundua Wajumbe ndio kipindi Chao cha kupiga pesa!!!BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Mbona umetoa kashfa mkuu???Nyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
Sema nini, hawa watu kazi yao ngumu sana Yarabi, Juzi nimemuona Heche anashuka kwa gari, tuliangaliana macho kwa macho, Anaonekana amechoka sana (Exhausted) Simaanishi amechakaa .BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:
- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
Shangwe hazipigi kura.BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:
- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
Ni kweli, hali ya siasa za sasa inaonyesha jinsi ambavyo rushwa imeathiri mchakato wa uchaguzi. Kama wajumbe wanashangilia pesa badala ya maono au sera za mgombea, basi kuna changamoto kubwa ya kiadilifu inayopaswa kushughulikiwa. Mkono wa Lissu unapaswa kuwa mrefu sio kwa pesa, bali kwa kuleta uadilifu na mabadiliko halisi ndani ya chama na taifa kwa ujumla.Mkono wa Lisu usiwe mfupi tu Wajumbe watakatifu walizikwa toka mwaka 2000 awa wa 2025 wanashangilia pesa sio kukuona ww kama Lisu!!
Huu uhuni usemao uko kwenye chaguzi za kishenzi za ccm.Nyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
Mganga wa Lissu ni nyakati tu. Mbowe ameshindwa kusoma alama za nyakati ndiyo maana anatumia nguvu kuuubwa na hadi assist toka dola kumrudisha.Kweli kabisa, mganga wa Lissu anaonekana kuwa na uwezo wa kipekee! 😄
Nasikia CCM na TISS watatoa assist ya fedha na manpower kwa Sultan ndiyo uhakika alionao Pasco.Huu uhuni usemao uko kwenye chaguzi za kishenzi za ccm.
N iwe Hivyo- AmenCCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
Mungu wetu ni mwaminifu kama ilivyokuwa March 2021 ndivyo itakuwa tena mwaka huu.N iwe Hivyo- Amen
Safari hii wataukalia.Nasikia CCM na TISS watatoa assist ya fedha na manpower kwa Sultan ndiyo uhakika alionao Pasco.
1.Bawacha ni wangapi katika wapiga kura.BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:
- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu