Pre GE2025 BAVICHA walipuka kwa shangwe Lissu akiingia Ukumbini. Kwa shangwe hili, Freeman Mbowe atatoboa kweli?

Pre GE2025 BAVICHA walipuka kwa shangwe Lissu akiingia Ukumbini. Kwa shangwe hili, Freeman Mbowe atatoboa kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ninashauri watumie style ya zamani ya Kenya, wapigakura wanajipanga nyuma ya mgombea
 
Ila hata Lowassa aliimbiwa mpaka wimbo na bado wakamkata😃

 
Nyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
Ni kweli, siasa zinaweza kuwa na sura mbili; shangwe za leo si lazima ziakisi matokeo ya mwisho. Mwisho wa siku, uamuzi upo mikononi mwa wapiga kura, na lolote linaweza kutokea.
 
Unafiki wa Siasa unapaswa utambue kuwa sio kila shangwe ni ya kushangilia. Nyingine ni ya kuzomea pia.

Lissu anakubalika mno lakini sio kushinda pesa. Mbowe kapoteza umaarufu lakini ana pesa ya kuhonga na hiyo ndio itamfanya ashinde.
 
BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Wajumbe ndio walivo kama malaya malaya ngoja siku wakutane na Mbowe utagundua Wajumbe ndio kipindi Chao cha kupiga pesa!!!
 
Mkono wa Lisu usiwe mfupi tu Wajumbe watakatifu walizikwa toka mwaka 2000 awa wa 2025 wanashangilia pesa sio kukuona ww kama Lisu!!
 
BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:

- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo

- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
Sema nini, hawa watu kazi yao ngumu sana Yarabi, Juzi nimemuona Heche anashuka kwa gari, tuliangaliana macho kwa macho, Anaonekana amechoka sana (Exhausted) Simaanishi amechakaa .

Mwenyezi Mungu awatunze.
 
BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:

- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo

- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
Shangwe hazipigi kura.
 
Mkono wa Lisu usiwe mfupi tu Wajumbe watakatifu walizikwa toka mwaka 2000 awa wa 2025 wanashangilia pesa sio kukuona ww kama Lisu!!
Ni kweli, hali ya siasa za sasa inaonyesha jinsi ambavyo rushwa imeathiri mchakato wa uchaguzi. Kama wajumbe wanashangilia pesa badala ya maono au sera za mgombea, basi kuna changamoto kubwa ya kiadilifu inayopaswa kushughulikiwa. Mkono wa Lissu unapaswa kuwa mrefu sio kwa pesa, bali kwa kuleta uadilifu na mabadiliko halisi ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
 
BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:

- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo

- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
1.Bawacha ni wangapi katika wapiga kura.
2.tuwekee na mbowe akiwa anaingia
 
Back
Top Bottom