LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
sasa si itakuwa wapuuzi kulipuka kila mgombea akiingia, hawataeleweka wanamtaka nanihata akiingia mbowe watalipuka tu siasa ni sayansi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa si itakuwa wapuuzi kulipuka kila mgombea akiingia, hawataeleweka wanamtaka nanihata akiingia mbowe watalipuka tu siasa ni sayansi
😅😅😅 Kuna msambaa alikuwa anatafuta namba yako anaamini ni mganga.Mimi sio mganga wewe boya
ni staili ya kizamani ila nzuri sana japo itakuwa na usaliti kama umelambishwa asali halafu ukajipange kwa mwingineNinashauri watumie style ya zamani ya Kenya, wapigakura wanajipanga nyuma ya mgombea
Ila hata Lowassa aliimbiwa mpaka wimbo na bado wakamkata
however, hizi shangwe ni indicator tosha ya ushindi, hayo mengine ni prediction tuNi kweli, siasa zinaweza kuwa na sura mbili; shangwe za leo si lazima ziakisi matokeo ya mwisho. Mwisho wa siku, uamuzi upo mikononi mwa wapiga kura, na lolote linaweza kutokea.
Wewe ndiye ulianzisha matusi au viroba vimeshafuta kumbukumbu hata hukumbuki uliandika niniUkimaliza kutukana akili inarudi
Dalili ya mvua ni mawingu.however, hizi shangwe ni indicator tosha ya ushindi, hayo mengine ni prediction tu
wajumbe wale tu pesa zake ila kura kwa lissu, hela zisiwalevye wakaacha kufanya mabadliko ya siasa za chama chaoUnafiki wa Siasa unapaswa utambue kuwa sio kila shangwe ni ya kushangilia. Nyingine ni ya kuzomea pia.
Lissu anakubalika mno lakini sio kushinda pesa. Mbowe kapoteza umaarufu lakini ana pesa ya kuhonga na hiyo ndio itamfanya ashinde.
Pesa zitaliwa na kura hatumpi huyo dalali wa ccm.Unaijua hela wewe? Lissu ni mshindi tayari, tatizo ni….
Box la kura (jeusi la kiafrica) ndio kimbembe.
Unaota ndotoAnaweza asione hata kura aliyojipigia mwenyewe
haamini kama wanamshangilia lissu kweliMbona umetoa kashfa mkuu???
watakula kwa mbowe, kura kwa lissuMkono wa Lisu usiwe mfupi tu Wajumbe watakatifu walizikwa toka mwaka 2000 awa wa 2025 wanashangilia pesa sio kukuona ww kama Lisu!!
ndio muelekeo wa kuraShangwe hazipigi kura.
Hata Lowassa alishangiliwa hivyo hivyo enzi zile, ila maamuzi ya kura yalitoka kwenye boksi la kura.Nyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
kula kwa mbowe, kura kwa lissuNi kweli, hali ya siasa za sasa inaonyesha jinsi ambavyo rushwa imeathiri mchakato wa uchaguzi. Kama wajumbe wanashangilia pesa badala ya maono au sera za mgombea, basi kuna changamoto kubwa ya kiadilifu inayopaswa kushughulikiwa. Mkono wa Lissu unapaswa kuwa mrefu sio kwa pesa, bali kwa kuleta uadilifu na mabadiliko halisi ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
Mayala kunamuda nakuheshimu lkn kuna muda pia heshima inakataa kukuhesgimuNyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
Kwahiyo LOWASSA alishinda , maana aliongoza kwa shangwe.ndio muelekeo wa kura
nyakati zinamsukuma nje pamoja na assist ya dolaMganga wa Lissu ni nyakati tu. Mbowe ameshindwa kusoma alama za nyakati ndiyo maana anatumia nguvu kuuubwa na hadi assist toka dola kumrudisha.
Itakuwa ni aibu kama chadema watatumia mbinu za ccm kupata mshindi. Hiyo itakuwa suicidal ya chama. Maana watakuwa wamepoteza hoja na kusudi Lao la kuwa cha mbadala.BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:
- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu