Pre GE2025 BAVICHA walipuka kwa shangwe Lissu akiingia Ukumbini. Kwa shangwe hili, Freeman Mbowe atatoboa kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

BAVICHA baada ya kulipuka ukumbini, Lissu amewapa posho?
 
Usifananishe ccm na cdm
 

Yote sawa, lakini ndo upate kura moja Pasco! Walikuibia mkuu. 😁
 
CCM wanajua ila hawataki mtu wao azame ni kitendea kazi chao.
Kwamba Lissu wakimtaka atachomoa?

Kwanza tunajuaje Kama sio among infantrymen wao, sasa zamu yake imejongeshwa?

It’s too good to be true, kuna wapiga zumari kando kabisa…hawa wacheza ngoma tu na nyie ndio mashabiki Uchwara.

Tanzania’s famous Polishits!
 
Kweli kabisa, mganga wa Lissu anaonekana kuwa na uwezo wa kipekee! 😄
Mganga wake Mungu. Huyu huwa hana hayo mambo ya waganga. Kwa ile roho yake safi ndio Mungu huwa anamuinua sana.
 
Hapo kuna utofauti mkuu. Kumbuka Lowassa hakupewa nafasi ya kupigiwa kura. Unadhani wasingemkata kuna mtu angemshinda?
 
Hao vijana ukute wameaga kabisa nyumbani kwao kwamba wanaenda kazini.
Kazi yenyewe ndo hii.
 
Hebu rudia tena.
 
Hebu rudia tena.
Nimekubali matokeo, Chadema zile akili nyumbu zimewatoka wakafanya uamuzi.
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…