NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Uvccm ni mataahiraBAVICHA wamekuwa wapiga soga wapiga ramli waigizaji wapika majungu wametoka kwenye siasa ziwe za kujenga hoja au za kiunaharakati wamekuwa wapiga majungu ambao wanashindwa kutambua kwamba uimara wa Chama Chao hautokani na madhaifu ya CCM bali unatokana na Sera dhabiti zenye kuunganisha makundi yaliyoonewa lkn sasa wanamwandama yeyote aliye na Mapenzi na CCM
Kwa hali ambayo Chama hiki kimefikia kimeshakuwa kikundi cha watu vilaza sana walimshambulia Diamond wakashindwa kila agenda waaanzishayo wameshindwa poleni sana vijana wapiga Majungu hata CCM wakigombana lkn ndio wanaongoza nchi kwani kuna shida gani mama anaonyesha dalili zote kwamba msimfuate fuate lakini hamsikkii
Unajichanganya unatofautisha Mbowe na CHADEMA! Kwa hiyo Pambalu ndo anaye taka kukutana na mama, akamwombe rejesho?!nawahurumia vijana wa CHADEMA sana yaani wamepauka maisha yao ya kuunga unga wamenyonyolewa na Mbowe kila mara anapokosaa hela ya kumalizia apartments zake anakuja na swaga za michango mama naye amewachomolea kukutana naye wanabaki kulia lia tu ukimwangalia mtu kama Pambalu ana madeni tapeli na gqri yake wameishikilia kwa madeni ya uchaguzi
Unampinga kwa Sabaya tu?!Mama amekubali kujenga Reli, amekubali kujenga Meli, analeta maji kila pahala, anajenga stand na masoko, anajenga mradi wa Umeme mto Rufiji, amewateuwa akina Nassari Lijualikali, Msando, Kalist Lazaro kuwa wakuu wa wilaya mama mwenyewe Magufulists kwa nn nimpinge Magufulists mwenzangu Mama Samia mpaka 2030 atake asitake
UVCCM kumejaa matapeli tupukwa list ile ya MaDC na manaibu waziri ilivyojazwa na vijana wa upinzani niwa wazi anayejipendekeza ni huyo mteuaji.
Sabaya amendaliwa kwa kazi maalumu wewe huwezi kujua subiri Movie ichezwe utaijua CCM mm sasa hivi sina deni na mama yeye akitaka agombee mpk anafia Ikulu sawa tu kila la kheriUnampinga kwa Sabaya tu?!
Ccm ilishakufa zamani sana. Waliobaki ni wachumia tumbo tu.kwa list ile ya MaDC na manaibu waziri ilivyojazwa na vijana wa upinzani niwa wazi anayejipendekeza ni huyo mteuaji.
Kwa hiyo ulipokuwa unampinga, mpaka ukaanzisha mchakato wa kuchanga pesa, ukikuwa mjinga?Sabaya amendaliwa kwa kazi maalumu wewe huwezi kujua subiri Movie ichezwe utaijua CCM mm sasa hivi sina deni na mama yeye akitaka agombee mpk anafia Ikulu sawa tu kila la kheri