Pre GE2025 BAVICHA yaanza kuogopwa na watawala, Polisi watumika kuwakamata ili kuzuia wasihudhurie siku ya vijana duniani itakayofanyika Mbeya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Imekuwa ni rahisi kutambua uhai wa ccm kwamba unamashaka mengi.
 
hii sio nzuri Enzi za ubabe zimeisha , vyombo vya ulinzi msikuze jambo hili hacheni vijana wakutane wabadishane mawazo ila pia hata wakiandamana serikali isikilije hoja zao na kuzitolea majibu ,simple.
 
hii sio nzuri Enzi za ubabe zimeisha , vyombo vya ulinzi msikuze jambo hili hacheni vijana wakutane wabadishane mawazo ila pia hata wakiandamana serikali isikilije hoja zao na kuzitolea majibu ,simple.
Hatutaki UJiNGA WA 'kenya"*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…