BAVICHA yaingia nchini Zambia kuwajulia hali wafanyabiashara waliokimbia unyanyasaji Tanzania

BAVICHA yaingia nchini Zambia kuwajulia hali wafanyabiashara waliokimbia unyanyasaji Tanzania


Ile Taasisi bora ya vijana barani Africa kwa sasa, BAVICHA, imewasili nchini Zambia ambako inawajulia hali Lundo la Wafanyabiashara wa Tanzania kutoka Tunduma na maeneo mengine ambao walitafuta hifadhi ya kibiashara nchini humo baada ya kukimbia manyanyaso nchini mwao.

Bavicha imeongea na wafanyabiashara hao katika nchi jirani ambao wamekiri kupokelewa vema nchini Zambia na kwamba kodi wanayolipa katika nchi ya watu ni Rafiki mno na kwamba wanaimudu bila shaka na wanapata faida.

Wengi wao wameapa kutorudi tena kufanya biashara nchini Tanzania.

Juhudi za kuwabembeleza bado zinaendelea.
Bavicha wa kimataifa
 

Ile Taasisi bora ya vijana barani Africa kwa sasa, BAVICHA, imewasili nchini Zambia ambako inawajulia hali Lundo la Wafanyabiashara wa Tanzania kutoka Tunduma na maeneo mengine ambao walitafuta hifadhi ya kibiashara nchini humo baada ya kukimbia manyanyaso nchini mwao.

Bavicha imeongea na wafanyabiashara hao katika nchi jirani ambao wamekiri kupokelewa vema nchini Zambia na kwamba kodi wanayolipa katika nchi ya watu ni Rafiki mno na kwamba wanaimudu bila shaka na wanapata faida.

Wengi wao wameapa kutorudi tena kufanya biashara nchini Tanzania.

Juhudi za kuwabembeleza bado zinaendelea.
we mama unaifanya siasa kama cult za kibwetere....
 
Nchi nyingi zilizoendelea zinafurahia watu wake kuwekeza nje ya nchi ili zilete kitu kinaitwa Remittances, ndiyo mojawapo ya nchi kupata foreign currencies. Wewe na ukihiyo wako huoni. Nchi zenye akili zinapeleka watu nje wakabebe maboksi kama Kenya, Uganda, Philippines etc ili wafaidi remittances, wewe unapinga! Hamjui nyie

..inaitwa " brain drain, " yaani nchi masikini kupoteza wataalamu iliosomesha wanaokwenda kufanya kazi kwenye mataifa tajiri.

..wanaokwenda kubeba maboksi wanaumizwa sana ktk nchi za kigeni. Nadhani umesikia kadhia wanazokutana nazo watumishi wa kigeni ktk nchi kama Qatar, UAE, USA, n.k

..wananchi kukimbia nchi yao ni dalili kwamba mambo hayako vizuri ktk nchi husika. Watz tusifurahie tunapoona vijana wetu wanaondoka hapa nchini kwasababu ya kukosa ajira, au fursa za kujiajiri na kuwekeza.
 

Ile Taasisi bora ya vijana barani Africa kwa sasa, BAVICHA, imewasili nchini Zambia ambako inawajulia hali Lundo la Wafanyabiashara wa Tanzania kutoka Tunduma na maeneo mengine ambao walitafuta hifadhi ya kibiashara nchini humo baada ya kukimbia manyanyaso nchini mwao.

Bavicha imeongea na wafanyabiashara hao katika nchi jirani ambao wamekiri kupokelewa vema nchini Zambia na kwamba kodi wanayolipa katika nchi ya watu ni Rafiki mno na kwamba wanaimudu bila shaka na wanapata faida.

Wengi wao wameapa kutorudi tena kufanya biashara nchini Tanzania.

Juhudi za kuwabembeleza bado zinaendelea.
Waje hadi Lusaka Ndola Chingola Mpulungu Kabwe Kasumbalesa Chililabombwe tuko wengi wasishie Nakonde tumekimbia mikodi yenu
 

Ile Taasisi bora ya vijana barani Africa kwa sasa, BAVICHA, imewasili nchini Zambia ambako inawajulia hali Lundo la Wafanyabiashara wa Tanzania kutoka Tunduma na maeneo mengine ambao walitafuta hifadhi ya kibiashara nchini humo baada ya kukimbia manyanyaso nchini mwao.

Bavicha imeongea na wafanyabiashara hao katika nchi jirani ambao wamekiri kupokelewa vema nchini Zambia na kwamba kodi wanayolipa katika nchi ya watu ni Rafiki mno na kwamba wanaimudu bila shaka na wanapata faida.

Wengi wao wameapa kutorudi tena kufanya biashara nchini Tanzania.

Juhudi za kuwabembeleza bado zinaendelea.
Taasisi bora ya kulea vijana kuja kuwa wanasiasa wakubwa na makini!!
 
..inaitwa " brain drain, " yaani nchi masikini kupoteza wataalamu iliosomesha wanaokwenda kufanya kazi kwenye mataifa tajiri.

..wanaokwenda kubeba maboksi wanaumizwa sana ktk nchi za kigeni. Nadhani umesikia kadhia wanazokutana nazo watumishi wa kigeni ktk nchi kama Qatar, UAE, USA, n.k

..wananchi kukimbia nchi yao ni dalili kwamba mambo hayako vizuri ktk nchi husika. Watz tusifurahie tunapoona vijana wetu wanaondoka hapa nchini kwasababu ya kukosa ajira, au fursa za kujiajiri na kuwekeza.
Hujui kitu, ficha ujinga wako. Remittances ni chanzo cha muhimu cha mapato ya fedha za kigeni
 
Back
Top Bottom