Kwasababu ni mbumbumbuhivi kwanini verified member wengi wa jf ni mbumbumbu ?
Nani aliyempelekea Majina ya hao Wasichana kwa maana sisi kama Chadema tulishakataa kuyatambua Matokeo hayo ya wiziwivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,
Si tulikubaliana kuwa tatizo sio chama na ndio maana sasa Mama samia anatetewa na wapinzani pamoja na kuwa Mama Samia anatoka ccm.Nchi ina miaka 60 tangu ipate uhuru na chama kile kile kwa miaka 60. Na chama husika na Serikali kibabu sa eti Serikali ya wanyonge. Kwa miaka yote 60 hii Serikali ya chama kile kile imeshindwaje kuondoa wanyonge Tanzania? Na Wapumbavu wanapiga makofi wanapoitwa wanyonge bila ya kujiuliza wamekuwaje wanyonge katika nchi iliyo huru kwa miaka 60!?
Bado tuna safari ndefu sana.
Si tulikubaliana kuwa tatizo sio chama na ndio maana sasa Mama samia anatetewa na wapinzani pamoja na kuwa Mama Samia anatoka ccm.
wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,
je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku
HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Sheria za nchi si za Ndugai
Au kunaChadema mbili siki hizi?Sheria za inchi zinataka viti maalum 19 kutoka chadema, na wako bungeni
Ingekuwa wamekuwa bungeni after kufukuzwa uanachama hapo ni sawa
Sheria za inchi zinataka viti maalum 19 kutoka chadema, na wako bungeni
Ingekuwa wamekuwa bungeni after kufukuzwa uanachama hapo ni sawa
Wakati unaandika hizi siasa uchwara ungekuwa unafanya kazi ingependeza zaidi...Watu badala ya kufanya kazi ili kukuza uchumi wa nchi wamekalia poor politics zisizo na tija katika uchumi na maendeleo ya nchi, poor you!
Walipelekwa na nani ?Sheria za inchi zinataka viti maalum 19 kutoka chadema, na wako bungeni
Ingekuwa wamekuwa bungeni after kufukuzwa uanachama hapo ni sawa
Noma sana !Nchi ina miaka 60 tangu ipate uhuru na chama kile kile kwa miaka 60. Na chama husika na Serikali kibabu sa eti Serikali ya wanyonge. Kwa miaka yote 60 hii Serikali ya chama kile kile imeshindwaje kuondoa wanyonge Tanzania? Na Wapumbavu wanapiga makofi wanapoitwa wanyonge bila ya kujiuliza wamekuwaje wanyonge katika nchi iliyo huru kwa miaka 60!?
Bado tuna safari ndefu sana.
Umejikunja kuandika ila ni ujinga mtupu. Sheria umeisoma inasemaje?wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,
je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku
HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Wakati CCM wanamfukuza Sofia Simba walifuata huo mwongozo? Vipi wale wabunge 5 wa CUF? Kazi ya Spika sio kutunga sheria kazi yake ni kuongoza. Huo mwongozo mpya katunga mwenyewe ghafla baada ya kuona maji yamemfika shingoni. Km huamini muulize Nape.Ushamba wa madaraka ndio unaomsumbua huyu mzee.Ndugai.wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,
je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku
HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA