BAWACHA hawatanii, waomba ulinzi wa Polisi, RPC Muroto maji yamfika shingoni, aonywa aache siasa

Sasa hivi kuna uhuru wa vyombo vya habari hadi raha.ITV wameirusha hii clip kwenye taarifa ya habari.Ingekuwa kipindi cha Mwenyekwenda zake ,walahi wasingethubutu kurusha!!
Ingekuwa na leseni TCRA wameshachukua na wazee wa kazi waneshaingia studio au ofisini kuchukua vifaa kama laptop, camera n.k na kuweka chini ya ulinzi kuanzia mmiliki, watendaji wote hasa Chief Editor. Hakika Mungu tunakushukuru mno. Hatutasahau March 2021.

Mungu mlinde Kila hatua Rais wetu mpendwa SSH. Yaani aishi miaka mingi. Legacy ya kiongozi siyo Barabara bali ni alichofanya kwa mioyo ya wananchi bila kufutika. Uhuru kurejea na kumaliza udikteta ni Legacy haitasahaulika. Ninaamini mambo mazuri zaidi yanakuja ikiwemo kurejesha mahusiano na majirani na dunia.
 
angalau kuna nafuu sana
 
Uo mwongozo haupo kikanuni wala kisheria, Wapi mwongozo huo ulitumika? Kama unataka kusiwe na kukomoana, Je mbona hoja ya kwamba Mbunge asilazimike kuwa mwanachama wa chama cha siasa, awe mgombea huru mliikataa?
 
HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Too low.
Kwako swala lolote huwa ni kuwahiana na wivu, hakuna katiba, sheria wala haki.
Tatizo hili huwa linatokana na makuzi yaliyopwaya kwenye upendo ndani ya familia.
 
Aisee!! Kama haya ni ya kweli,... basi ni sawa kusema siasa ni mojawapo ya michezo michafu sana duniani. Wanasiasa waaminifu na wa kweli kama wapo, basi watakuwa labda 1% moja dunia nzima.
 
Wewe ni muongo sana unadhani unaongea na wajinga wenzako. Halima aligombea lini nafasi ya viti maalum?

Halima alikuwa mgombea Jimbo la kawe, how comes amekosa Kaee akaenda kuchukua viti maalum ingali huko kuna members walishachaguliwa baada ya kugombea kwenye makundi ya viti maalum?

Acha porojo basi.
 
Aisee!! Kama haya ni ya kweli,... basi ni sawa kusema siasa ni mojawapo ya michezo michafu sana duniani. Wanasiasa waaminifu na wa kweli kama wapo, basi watakuwa labda 1% moja dunia nzima.
Muongo huyo anaongea ujinga kabisa, soma maelezo yangu kwenye post hapo juu.
 
Aisee!! Kama haya ni ya kweli,... basi ni sawa kusema siasa ni mojawapo ya michezo michafu sana duniani. Wanasiasa waaminifu na wa kweli kama wapo, basi watakuwa labda 1% moja dunia nzima.
Huyu masikini asikudanganye
 
Mfano mmojawapo Joyce Mukya tueleze alipewaje ubunge viti maalumu 2015 wakati hakugombea popote iwe kwenye jimbo au kugombea viti maalumu ilikuwaje akapewa ubunge na Mbowe?
 
Mfano mmojawapo Joyce Mukya tueleze alipewaje ubunge viti maalumu 2015 wakati hakugombea popote iwe kwenye jimbo au kugombea viti maalumu ilikuwaje akapewa ubunge na Mbowe?
Aliyekudanganya kwamba Mbowe ndiye mgawa viti maalum ni nani ?
 
Aliyekudanganya kwamba Mbowe ndiye mgawa viti maalum ni nani ?
Joyce Mukya 2015 alipataje huo ubunge wakati hakugombea popote kwenye Jimbo waa kwenye kugombea viti maalum? Ubunge ule aliutoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…