BAWACHA hawatanii, waomba ulinzi wa Polisi, RPC Muroto maji yamfika shingoni, aonywa aache siasa

BAWACHA hawatanii, waomba ulinzi wa Polisi, RPC Muroto maji yamfika shingoni, aonywa aache siasa

wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,


je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku


HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Hapo ilikuwa ukitaka kumchinja kobe timming! Mbowe alikosea timming kabla ya kumchinja kobe akawa kashaficha shingo!

Too late, alitaka dada zake ndio wale mijihela ila wakawa washapoteza timming!
 
BAWACHA wanataka kujishugulisha wabaki relevant. Gilles Muroto tunajua uwezo wako, shugulikia hao watu wapigwe kipigo cha mbwa koko wachakae
 
Muruto ni adui wa haki. Kuwa Polisi haina maana kwamba usitumie akili zako vyema
Hizo akili unazozizungumzia anazo??
Angekuwa nazo angetambua kuwa Askari wanalipwa kwa Kodi za watanzania wote, ccm na Chadema, act na chauma, cuf na wasio na vyama, Sio kuwaambia Askari wake tunalipwa mshahara na ccm hivyo lazima tutetee maslahi ya chama kilicho madarakani.

Elimu duni madaraka makubwa, shame!
 
Ukishafukuzwa chama Mara moja automatic, wewe Sio mbunge ndugu.Katiba ndo inataka hivo

Ulifukuzwa kwa ajili ya kutii sheria za inchi au Ulifukuzwa kwa ajili gani?

Mbona chadema kuna mambo wanafanya ambayo yangepaswa chama kufutwa mbona hakikufutiwa usajili wake?
 
wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,


je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku


HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Aliwapokea bila katiba, kikao au muktasari,awaondoe kwa njia hiyo aliyowapokelea

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Watu badala ya kufanya kazi ili kukuza uchumi wa nchi wamekalia poor politics zisizo na tija katika uchumi na maendeleo ya nchi, poor you!
Mkuu,Mbunge analipwa 10+M kwa mwezi .Ni fursa bora kabisa kwa yeyote anayeweza.Lets see how it ends.But I like the guts of the ladies.
 
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
Dada punguza mdomo
 
wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,


je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku


HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
katiba ndivyo inavyo elekeza, huna chama hupaswi kuwa mbunge over.
 
Tumia akili kidogo basi uliyopewa na mola jamn

Ww ndio utumie akili
Si unaona wenyewe wanaume wameacha kabisa kuongea hizo mambo, na hata mahakamani hawajaenda coz wanajua kila kitu

Nyie washabiki maandazi wa siasa ndio mnapiga kelele hapa
 
Sasa hivi kuna uhuru wa vyombo vya habari hadi raha.ITV wameirusha hii clip kwenye taarifa ya habari.Ingekuwa kipindi cha Mwenyekwenda zake ,walahi wasingethubutu kurusha!!
Wangurusha hii clip enzi za Ibilisi mpaka kesho tusingeona kaswida za Eid ITV.
 
wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,


je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku


HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Kumbe Mataga bado mpo?

Mbona hamkumuliza viambatanisho mwendazake wakati anamfukuza Sophia Simba?
 
Back
Top Bottom