BAWACHA hawatanii, waomba ulinzi wa Polisi, RPC Muroto maji yamfika shingoni, aonywa aache siasa

BAWACHA hawatanii, waomba ulinzi wa Polisi, RPC Muroto maji yamfika shingoni, aonywa aache siasa

Watu badala ya kufanya kazi ili kukuza uchumi wa nchi wamekalia poor politics zisizo na tija katika uchumi na maendeleo ya nchi, poor you!
Aisee, lugha ya malkia ni shidaaaa...!

Eti umesemaje hapa?....."poor politics..?"

Ndiyo kitu gani hiki?

Haa haaa, usikute wewe ni garaduate wa political science toka UDOM...!!
 
wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,


je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku


HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Watu hawafanyi mambo kwa kufuata maneno ya mnafiki Ndugai, bali sheria na kanuni.
 
Mtu kama Ndugai, Muroto, Sabaya, Hapi, Chalamila, ni laana kwa Taifa. Hawastahili kumwongoza yeyote zaidi ua familia zao.

Hawa ni mawakala wa ibilisi.
 
Clinic yake India lini?? Kile cha Punjab kimefika congo, soon kitakuwa bandarini kwa malori ya mizigo
Kabla hakijafika Bandarisalama kitatua hapa si unajua maroli yanapita karibu na kwake mjengoni.
 
acheni kuchonga midomo nyie wanawake baraza kuu lenu la Chadema halijakaa kuamua hao bado wanachama wenu
 
wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,


je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku


HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Wakati anawaapisha hao wahuni walimpelekea katiba na minutes za kikao kilichowachagua? Mmeishiwa na utetezi saa hii mmbeki kudandia Utetezi wa kijinga.
 
Hii vita CHADEMA inakwenda kusambaratika

Vita hii hawa akina mama wameivalia njuga baada ya kutapeliwa

Viti maalumu waliotakiwa wapewe ubunge kuna kundi la kwanza la wake na mahawara wa baadhi ya wajumbe wa kamati kuu ya CHADEMA kundi hili nyuma yao yuko MBOWE na Tundu Lisu Kundi la pili ni la akina mama walioipigania CHADEMA kufa na kupona miaka yote wakiongozwa na Halima Mdee na nyuma yao yuko Mnyika

Kundi la Halima Mdee liliingia bungeni kwa barua aliyoandika Mnyika baada ya kuona ushetani wa kundi la Mbowe na Lisu wanaotaka kuufanya waingize wake zao na hawara zao na kuwaacha wapambanaji.

Ukiangalia list yote iliyoko bungerni ya CHADEMA ndio cream ya CHADEMA KUTOKA KONA ZOTE ZA NCHI BILA UKABILA WALA NINI.wALITEULIWA KI UMAKINI SANA

Sasahilo kundi la Lisu na Mbowe wana hasira wanataka wawatoe lakini kuna kigingi cha baraza kuu

Mbowe na Lisu hawataki kuitisha kikao cha baraza kuu sababu hilo kundi la walioko bungeni wana nguvu kubwa mno kule baraza laweza fikia azimio la kumvua uongozi Mbowe na Lisu kesi ikifika kule

Kinachotakiwa msajili awashinikize waitishe kikao cha baraza kuu wamalizane huko

Lakini the way I see kunaenda zuka mgogoro mkubwa ambao utaisambaratisha CHADEMA NA KUMFUNGASHA VIRAGO Mbowe na Lisu kama walivyofungashwa virago MAALIM SEIF na Duni Haji CUF
 
Chadema mnamjaribu Mama, Hajaribiwi, wacheni siasa zenu za migombani. Hii Itawarudia na mtaanza kuliakulia kama kawaida yenu
 
Kimsingi mme au mke wakipeana taraka kila mtu lazima awe huru , Sasa Cdm imewapa Akina mdee Taraka Tena Taraka 7 means ni wasimbe hawana mme Sasa inakuwaje ndugai analazimisha waolewe na cdm wakati cdm imeshatoa taraka na kuoa upya🤣
 
Mi nimeshanunua mahindi ya Bisi 😂😂😂 nasubiri utekelezaji wa mikwara ya kamanda Giles Muroto!

Maana wanasemaga wanawake wanapigwa na kanga. Nasubiria kuona hizo kanga
 
Muroto alianza kupona ukichaa kipindi fulani, akakaa kimya tukajua ameishapona, ila sasa naona ukichaa unaanza kurudi kwa kasi ya 4G.

Mwache ajisahau na kuhisi huu bado ni utawala wa mpenda sifa, Mama hapakaliwi mafuta kwa mgongo wa chupa wala hatanii. Mama kaisha anza na Biswalo kuvuliwa DPP na kupelekwa mahakamani ili akajionee raha ya kusikiliza kesi zisizoisha kwa kuahirishwa kila kukicha mpaka miaka 7 inakata.
Machadema mnajisumbua, mnadhani mkimsifia mama ndio atakubaliana na upumbavu wenu wote!!?
 
Back
Top Bottom