Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hivi hapa anayetapatapa ni Ndugai au hayo Madanga ya BAWACHA?Bora nyinyi BAWACHA mfanye hiyo Press Conference.
Bila shaka mtalieleza kinagaubaga suala la akina Halima Mdee, ili huyu "mbabaishaji" Ndugai afike mwisho wake............
Maana kwa hivi sasa anatapatapa, amefikia hatua kwa anayeusema ukweli anamtisha!
Si nyote mmemsikia akimtisha Nape kwa kuutoboa ukweli kuhusu akina Halima Mdee??
Elitwege umekuwa Etwege?? Magu aliwalea vibaya sana. Mnateseka mno.Kama wamemegwa na Dj kwa ahadi kwamba atawapa ubunge imekula kwao.
Spika Ndugai yuko imara kuliko muda wowote ule.
Chadema haifi hata mkifanya nini?Kama wamemegwa na Dj kwa ahadi kwamba atawapa ubunge imekula kwao.
Spika Ndugai yuko imara kuliko muda wowote ule.
madangaSema bawacha imebaki ya wahuni. Imagine Hilda Newton ndo mzungumzaji mkuu. Mtu ana anahangaika kujua sifa za wanaume wasokua na nguvu za kiume huko twitani Wakati kuna Masuala mengi yanayolisumbua Taifa.
Waandishi tutakuwepo kuwasogezea habariHii ndio taarifa yao mpya waliyoisambaza kwa vyombo vyote vya habari duniani
View attachment 1772526
Wote Mnakaribishwa .
Tunasisitiza kwa wale wote watakaohudhuria kufuata mwongozo wa WHO wa kudhibiti maambukizi ya corona
Usisahau kuvaa barakoaWaandishi tutakuwepo kuwasogezea habari
Mtu mjinga hata siku moja hawezi kuwa imara. Uimara wa kweli unatokana na uwezo wa kiakili na ukweli wa nafsi.Kama wamemegwa na Dj kwa ahadi kwamba atawapa ubunge imekula kwao.
Spika Ndugai yuko imara kuliko muda wowote ule.
Ongeana rumia kauli zinazotumiwa na watu wenye akili. Hili si jukwaa la wahuni.Hivi hapa anayetapatapa ni Ndugai au hayo Madanga ya BAWACHA?