BAWACHA kuongea na waandishi wa habari wa ndani na nje ya nchi

BAWACHA kuongea na waandishi wa habari wa ndani na nje ya nchi

Huu uzi si mzuri kwa hao Covid-19 na baba yao anayewakingia kifua kwa manufaa yake binafsi.
 
Kama wamemegwa na Dj kwa ahadi kwamba atawapa ubunge imekula kwao.

Spika Ndugai yuko imara kuliko muda wowote ule.
Ujinga ni shida, shida zaidi kusifia ujinga, katiba ifuatwe, haina haja ya vitisho, kwa faida ya nani kuvunja katiba? Au lengo ni kukomoa chama cha siasa! Ni ujinga!
 
Ifike mahala bawacha waionee miili yao huruma kuibebesha magonjwa yasiyoambukiza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawaonea wivu wenzao wanapiga hela huku wao hata hela ya kununulia madela hawana
 
Sijakupata vizuri hapa![emoji115]

Ova
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawaonea wivu wenzao wanapiga hela huku wao hata hela ya kununulia madela hawana

Watakufa siku si zao
 
Back
Top Bottom