Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Mtu mjinga jata siku moja hawezi kuwa imara. Uimara wa kweli unatokana na uwezo wa kiakili na ukweli wa nafsi.
CCM inaungwa mkono na wajinga (TWAWEZA)
Ndani ya CCM kuna mafisi (Kikwete).
Watu ambao kwa kiasi kikubwa wamepungukiwa akili wakabakiwa na akili ndogo sana, angalao ya kuweza kushangilia kila jambo, kama huyu Etwege, walipendwa sana na marehemu. Marehemu hakupenda kabisa watu wenye akili, watu wanaoweza kufikiri na wakamkosoa.Elitwege umekuwa Etwege?? Magu aliwalea vibaya sana. Mnateseka mno.
Asante sana kwa kuiweka live hii nukuu ya TWAWEZA.
It takes one to know one..Hivi hapa anayetapatapa ni Ndugai au hayo Madanga ya BAWACHA?
Ngoma za lumumba sio za Ufipa.Mkuu Erythrocyte, ukiweza wapenyezee kaushauri kangu kadogo tu, waambie 'ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka'. Walikuwa na press conference last week, wana nyingine kesho; press conference za kila wiki zitamaliza utamu masikioni mwa watu. Wataonekena, 'aah, ni yale yale, hakuna jipya'.
Hakika !Dunia itasimama.
Madanga ya bawacha.Hivi hapa anayetapatapa ni Ndugai au hayo Madanga ya BAWACHA?
Hatimaye waliokuwa eda waanza kurejea jfMadanga ya bawacha.
Anauliza wanaume mpo wakati na yeye ni mwanaume.Huyu mama huwa ananichekesha sana π€£.
Ana vituko sana.
Afadhali hayo yaaanze kuuza vitumbua.Hatimaye waliokuwa eda waanza kurejea jf
Sawa mkuu πππUsisahau kuvaa barakoa
Wewe ulienda kusoma huo ujinga wake wa nini.Maana wewe ni mwananchi tu kama yeye sasa wewe unashindwa nini kusema hayo matatizo ya nchi hadi hilda akusemee na akisema mambo yake binafsi unachukia au alilolisema linakuhusu.kama ni hivyo katafute dawa badala ya kumsimanga kwa maisha yake binafsi.Sema bawacha imebaki ya wahuni. Imagine Hilda Newton ndo mzungumzaji mkuu. Mtu ana anahangaika kujua sifa za wanaume wasokua na nguvu za kiume huko twitani Wakati kuna Masuala mengi yanayolisumbua Taifa.
Take home message, Nchi haiwezi kuongozwa na madanga", over.Wewe ulienda kusoma huo ujinga wake wa nini.Maana wewe ni mwananchi tu kama yeye sasa wewe unashindwa nini kusema hayo matatizo ya nchi hadi hilda akusemee na akisema mambo yake binafsi unachukia au alilolisema linakuhusu.kama ni hivyo katafute dawa badala ya kumsimanga kwa maisha yake binafsi.
Umeanza kiburi.angalia namba moja ni mama sasa hivi ya kesho unayajua wewe au unajipa kiburi chakijinga tu.Take home message, Nchi haiwezi kuongozwa na madanga", over.
Yuko imara Mungu tu wacha mbwembweKama wamemegwa na Dj kwa ahadi kwamba atawapa ubunge imekula kwao.
Spika Ndugai yuko imara kuliko muda wowote ule.