Hii ndio taarifa yao mpya waliyoisambaza kwa vyombo vyote vya habari duniani
Wote Mnakaribishwa .
Tunasisitiza kwa wale wote watakaohudhuria kufuata mwongozo wa WHO wa kudhibiti maambukizi ya corona
Ujinga ni shida, shida zaidi kusifia ujinga, katiba ifuatwe, haina haja ya vitisho, kwa faida ya nani kuvunja katiba? Au lengo ni kukomoa chama cha siasa! Ni ujinga!Kama wamemegwa na Dj kwa ahadi kwamba atawapa ubunge imekula kwao.
Spika Ndugai yuko imara kuliko muda wowote ule.
Sijakupata vizuri hapa![emoji115]Ifike mahala bawacha waionee miili yao huruma kuibebesha magonjwa yasiyoambukiza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawaonea wivu wenzao wanapiga hela huku wao hata hela ya kununulia madela hawanaIfike mahala bawacha waionee miili yao huruma kuibebesha magonjwa yasiyoambukiza
Ili kukwepa wachawi tukaamua kufungua uzi mpyasaa hizi saa ngapi bawacha wamekosa vyombo vya habari hadi sasa inaelekea saa saba kimyaaa
Vipi walizungumza hawa Ndugu zetu ??Hii ndio taarifa yao mpya waliyoisambaza kwa vyombo vyote vya habari duniani
Wote Mnakaribishwa .
Tunasisitiza kwa wale wote watakaohudhuria kufuata mwongozo wa WHO wa kudhibiti maambukizi ya corona
Yaani unataka kumlinganisha mama yetu mpendwa na Hilda? Are you serious?Umeanza kiburi.angalia namba moja ni mama sasa hivi ya kesho unayajua wewe au unajipa kiburi chakijinga tu.
Mkuu weka link basi ili tujisomee walichosemaIli kukwepa wachawi tukaamua kufungua uzi mpya
Sijakupata vizuri hapa![emoji115]
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawaonea wivu wenzao wanapiga hela huku wao hata hela ya kununulia madela hawana
WAandishi wa habari hawakutokea BAWACHA wakaingia mitiniMkuu weka link basi ili tujisomee walichosema
Sijakuelewa kabisa hawa ni BAWACHA ndugai ama bawacha CDM !?endelea kutufuatilia