Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Kwa hiyo mkuu wewe unaujua ukweli kuliko wenye timu yao?Mwenye kosa hapa ni Sane na lipo wazi semaa ujerumani wake umemlinda... Mané ni mpole na inafahamika hanaga shida tena mwezi huu mtukufu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mkuu wewe unaujua ukweli kuliko wenye timu yao?Mwenye kosa hapa ni Sane na lipo wazi semaa ujerumani wake umemlinda... Mané ni mpole na inafahamika hanaga shida tena mwezi huu mtukufu
Mkuu hebu weka hiyo video clip inayoonyesha akimtukana.Sane alimtukana mane " black as shit" sema media za ujerumani haziwezi kumsema sane.
Ila bora alipigwa sijui kamwambiaje baby wake
Hakuna cha Akili Wala nini. Wana act unafiki tu.. Kama mchezaji amemisbehave si mumpe adhabu bas Kama mnaweza.. hawawez coz wanajua watanasa kwenye mtego mwingne.. after all ka million 4, kanashida Gani??Mwenye akili anaujua mtego wa Yanga,ukiwa na akili za kishabiki huwezi kuelewa
Kwamba yule Jasmine ndiyo anaakili kwamba mchezaji hata akisaini mkataba leo kesho anaweza kuvunja bila hata sababu ya msingi? Mpira ungekuwa hivyo ingekuwa fujo.............. endeleeni kumdanganya Fei toto na kumjaza bichwaHakuna cha Akili Wala nini. Wana act unafiki tu.. Kama mchezaji amemisbehave si mumpe adhabu bas Kama mnaweza.. hawawez coz wanajua watanasa kwenye mtego mwingne.. after all ka million 4, kanashida Gani??
Video haijavuja ila media za ulaya ambazo sio pro Germany ndo zimeripoti hiviMkuu hebu weka hiyo video clip inayoonyesha akimtukana.