Hakuna cha Akili Wala nini. Wana act unafiki tu.. Kama mchezaji amemisbehave si mumpe adhabu bas Kama mnaweza.. hawawez coz wanajua watanasa kwenye mtego mwingne.. after all ka million 4, kanashida Gani??
Hakuna cha Akili Wala nini. Wana act unafiki tu.. Kama mchezaji amemisbehave si mumpe adhabu bas Kama mnaweza.. hawawez coz wanajua watanasa kwenye mtego mwingne.. after all ka million 4, kanashida Gani??
Kwamba yule Jasmine ndiyo anaakili kwamba mchezaji hata akisaini mkataba leo kesho anaweza kuvunja bila hata sababu ya msingi? Mpira ungekuwa hivyo ingekuwa fujo.............. endeleeni kumdanganya Fei toto na kumjaza bichwa