Bayport: Majambazi yanayolindwa na Serikali?

Kwanza ulikosea sana kuwapelekea fedha ya kuclear mkopo bila kupewa risiti ya marejesho. Fedha yoyote ile unayorejesha lazima malipo yake yawe na receipt kwa conviniency za baadae. Aidha nakushauri upeleke maelezo yako TAKUKURU haraka naamini watakupa msaada sana. Peleka vielelezo vyako kusapoti malalamiko yako.
 
Kuna watu wapole duniani hapa daah.. Ingekuwa mimi CCN, BBC na mashirika yote makubwa ya habari yangekuja kuripoti hii habati kimataifa kwa action ambayo ningechukua kwa huyo Branch Manager..

~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
 
Wanashirikiana hao Bayport, benki na waajiri wako. Haiwezekani wote wasijue makato ya deni yasiyo na kikomo. Hata TAKUKURU, polisi na tis wanajua lakini wako kimya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu, tunajua Walimu ni watu waelewa. Cha kushangaza idadi kubwa ya waathirika wa mikopo hii ni Walimu. Mwalimu anashindwa kupiga hesabu ili kujua mwisho wa siku atakuwa amelipa kiasi gani cha pesa. Tatizo hili ni la miaka mingi, ila cha kusikitisha hadi leo bado wanaendelea kukopa tu. Ogopa sana wakopeshaji ambao wanatoa mikopo yao ndani ya saa 24. Kwa vile una shida macho yako kodo kwenye hizo milioni, unasahau kabisa kusoma na kuuliza mkataba wao ukoje. Baada ya hapo utagundua kuwa umeishia mtegoni mwa hao "Mashyloki" ambao wanataka hadi nyama yako. Kumbuka mkopo ni kama mitego mingine tu, ni rahisi sana kuingia lakini ni vigumu kujinasua.
 
Kasema aliwalipa kwa cash.. Sasa sijui toka lini mkopo unalipwa mkononi.
Ndo walimu wetu hawa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Na amesema hana risiti wala fomu yyte, yaani alikabidhi hela na kuondoka zake, ndo maana amekubali kulipa Mara ya pili...

Sijui hata wanawafundisha nini watoto wetu huko mashuleni
 
Reactions: amu
Pole sana mwalimu

Usikute ulikopa ukanunua pikipiki aina ya boxer

Kinachoumiza zaidi boxer ushaibiwa na bado

unagongwa sindano ya klistapeni

Pambana mkuu!


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Bayport platinum credit maboto and the like usijaribu utafilisika

Kama unataka mkopo nenda benki mbona easy Hawa loan sharks wako kwa ajili ya kuumiza watu sio kukusadia

Baware!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hizi taasisi za fedha ambazo mnakabidhi kadi za benki!?????
 
Hata mim nilikopa baypot makato yao wanamaliza mwez wa nane!! je wanaweza wakazidisha miez ya kukata kinyume na mkataba?? nijibun il nijiandae kwa mapambano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…