Bayport: Majambazi yanayolindwa na Serikali?

Inawezekana hapo katikati ulipokuwa unalipa kwa keshi kunashortcut ulipita kwa kutumia loans officers sasa ikatokea umetumbuliwa na hesabu zikapigwa upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mim nilikopa baypot makato yao wanamaliza mwez wa nane!! je wanaweza wakazidisha miez ya kukata kinyume na mkataba?? nijibun il nijiandae kwa mapambano
Jiandae na Vita, hao watu ukiwa mnyonge imekula kwako
 
BAYPORT ni matapeli wa muda mrefu na kila kukicha malalamiko hayakauki na wengineo wataendelea kuibiwa kwa kutofanya utafiti kabla ya kuchukua hela za chap chap na masharti nafuu.
 
Unakopaji sehemu kama hizo uchwara,wakati kuna benki kubwa kibao.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iv wanawezaje kukata kwa kuzidisha miezi kinyume na makubaliano??? na je kweli wapo waliowafanyia ivi ukiachilia na huyu alieenda kulipa kwa keshi??? naomba mnsaidie majibu il nijiandae kwa mapambano
 
Hivi kweli ndugu yangu unalipa mkopo bila kuchukua risiti?

Hata mtaani ukilipa deni la jirani au rafiki unaenda na shahidi.
 
iv baypot wanawezaje kuzidisha miez ya makato kinyume na mkataba??? je wapo waliokopa na wakakatwa na miez ya ziada kinyume na makubaliano?? ukiachilia mbali na huyu alieenda kulipa kesh!!! naomba majibu il nijiandae kwa mapambano
 
iv baypot wanawezaje kuzidisha miez ya makato kinyume na mkataba??? je wapo waliokopa na wakakatwa na miez ya ziada kinyume na makubaliano?? ukiachilia mbali na huyu alieenda kulipa kesh!!! naomba majibu il nijiandae kwa mapambano
Mkuu Achana na mkopo we tupe burudan ya Mapenz tuu tupia vitu tusome
Usilipe Huo mkopo ni ovyo tuu kimbia

Njoo huku Canada tule maisha

Sent by IPhone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…