Unajua kwenye BBA watu wanajua sana kufake life mie napenda wale wanaoishi jinsi walivyo kama kijana wetu Mwisho.Unajua wote hao( Tati n Lesb Sheila) walisema Bora Hann atoke ili kunusurua nyumba..wakiwa pamoja na Lera wao..Ila naona wasauz wamecheza karata njema hapo kumtoa M UG..kwani kulikuwa na dalili za watu kumrejesha mjengo next weeks ili kurejea kwenye kinyanganyiro.So far sina chaguo la kurejesha mtu kwa Mjengo wa kaka mkubwa
Bora tumrudishe Mtani wetu Sheila huenda akampa Mbua shemeji Uti..mana tumeshaposhwa kule na KelvinNadhani watu watamrudisha shemeji yetu (changupaka wa Angola) akajaribu tena nahati yake kwa Munya!
Bora tumrudishe Mtani wetu Sheila huenda akampa Mbua shemeji Uti..mana tumeshaposhwa kule na Kelvin
Dah kweli Lesb Sheila noma..huyu nadhan inaonekana wazi ni mzoefu katika fani ya usagaji unga!
LEo naona mpambano utakuwa mgumu kati ya Jen na Munya..
Du, Jen amekosa kura hata nyumbani kwao? Hii ni hatari sana.
Uti ni bully
Nilishasema Munya ni mwiba manake kaingia mara nyingi kweye nomination. Akiingia tena Mwisho wiki hii basi ndo mwisho wake, labda aingie na mkewe Merl hapo ataweza kusimama!
Masikini Jen hata home Mos hazikutosha?
Shida ya Wanaigeria ni hii kwamba are very dominating and explosive, hot tempered na they think always are the only one who are to be listened to and think that they are always right!
Mkuu nina uhakika wa 100%, Mwisho akisimama na Uti, Uti ataenda kwenye barn. The only person ambaye ninamuona ni threat kwa Mwisho ni Munya ambaye wiki hii atapumzika kwa kuwa ni HoH. Pia K1 na Meryl hawana ubavu wa kupambana na Mwisho. So, Mwisho bado yuko safe mpaka mwisho wa safari.
Keil Update juu watu wanaosoma mwanzo wa jue kuwa Jen mtoto mzuri kipenzi chake invisible ametoka leo!