BBC Dira ya Dunia: Zari athibitisha kuachana rasmi na Diamond

BBC Dira ya Dunia: Zari athibitisha kuachana rasmi na Diamond

Diamond alishaamua amuache ila alikua anatafuta nafasi tu!bidada kajiwahi!



Sana tu mwanaume anaekupenda haswaa hacheat hadharani
Nna uhakika ule mpango wa kutaarifu media juu ya mtoto wa hamisa ulipangwa na pia mama chibu kumtukana misa pia ili kuminjoy zari

Mwisho wa siku dokta kaenda south karudi uhawara chalii!!
Maana hawana ndoa wale!
Hehehehehe diamond huwa hasemi anaacha utaona vitendo tu
 
Hehehehehe diamond huwa hasemi anaacha utaona vitendo tu
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] ila kama kuna watu walidhani Diamond atamuoa Zarina[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] they need prayers kwa kweli!

Hata ningekua Mimi sithubutu mwanangu aoe mwanamke ambae nude yake ipo mtandaoni!
 
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] ila kama kuna watu walidhani Diamond atamuoa Zarina[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] they need prayers kwa kweli!

Hata ningekua Mimi sithubutu mwanangu aoe mwanamke ambae nude yake ipo mtandaoni!
Hehehehe diamond aoe Mobeto banaa
 
Na Siku diamond Akisema insta itetemekaa, we alivyosemaga tu Ndio kwanza Nna miaka 28 nikajua Hapa Hakuna kitu, Nasikia Hamisa kitandani ni balaaaa
Ila Hamisa ana shape hala kama modo,sijui watu wanampendea nini wema Tanzania hii.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] ila kama kuna watu walidhani Diamond atamuoa Zarina[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] they need prayers kwa kweli!

Hata ningekua Mimi sithubutu mwanangu aoe mwanamke ambae nude yake ipo mtandaoni!
Nude kitu gani bhana mbona Kim Kardashian kaolewa tena na super star
 
Kwani walioana lini ?

Siku hii???????

Screenshot_20180224-091159.jpg
 
Back
Top Bottom