Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hehehehehe diamond huwa hasemi anaacha utaona vitendo tuDiamond alishaamua amuache ila alikua anatafuta nafasi tu!bidada kajiwahi!
Sana tu mwanaume anaekupenda haswaa hacheat hadharani
Nna uhakika ule mpango wa kutaarifu media juu ya mtoto wa hamisa ulipangwa na pia mama chibu kumtukana misa pia ili kuminjoy zari
Mwisho wa siku dokta kaenda south karudi uhawara chalii!!
Maana hawana ndoa wale!