Hehehehehe diamond huwa hasemi anaacha utaona vitendo tuDiamond alishaamua amuache ila alikua anatafuta nafasi tu!bidada kajiwahi!
Sana tu mwanaume anaekupenda haswaa hacheat hadharani
Nna uhakika ule mpango wa kutaarifu media juu ya mtoto wa hamisa ulipangwa na pia mama chibu kumtukana misa pia ili kuminjoy zari
Mwisho wa siku dokta kaenda south karudi uhawara chalii!!
Maana hawana ndoa wale!
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] ila kama kuna watu walidhani Diamond atamuoa Zarina[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] they need prayers kwa kweli!Hehehehehe diamond huwa hasemi anaacha utaona vitendo tu
Hehehehe diamond aoe Mobeto banaa[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] ila kama kuna watu walidhani Diamond atamuoa Zarina[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] they need prayers kwa kweli!
Hata ningekua Mimi sithubutu mwanangu aoe mwanamke ambae nude yake ipo mtandaoni!
Ila Hamisa ana shape hala kama modo,sijui watu wanampendea nini wema Tanzania hii.Na Siku diamond Akisema insta itetemekaa, we alivyosemaga tu Ndio kwanza Nna miaka 28 nikajua Hapa Hakuna kitu, Nasikia Hamisa kitandani ni balaaaa
Nude kitu gani bhana mbona Kim Kardashian kaolewa tena na super star[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] ila kama kuna watu walidhani Diamond atamuoa Zarina[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] they need prayers kwa kweli!
Hata ningekua Mimi sithubutu mwanangu aoe mwanamke ambae nude yake ipo mtandaoni!
Wema Hawana habari,, misa kibokoIla Hamisa ana shape hala kama modo,sijui watu wanampendea nini wema Tanzania hii.
Kim kardashian sio mbongo yulee !!Nude kitu gani bhana mbona Kim Kardashian kaolewa tena na super star
[emoji3] [emoji3] [emoji2] si rahisi amuoe bado mdogo mnoo diamond afokasi kwenye carrier yake AY mwenyewe kaoa juzi!Hehehehe diamond aoe Mobeto banaa
Na Kanye sio mbongo ajueKim kardashian sio mbongo yulee !!
Ss si kaulizwa ulitaka asijibu?Anatapatapa tu,kwani wakati wanatongozana walitumia media?,kwenye kuachana kelele nyiiingi,atulie tu busara itumike zaidi ya mihemko
Ubaa ni kwamba si mobeto si wema hakuna atakaeolewa hapoNiliwahi kuota Diamond kamuoa Mabeto nikaleta uzi humu,nadhani muda utasema tu.
Misa silent killer yule ogopa sanaWema Hawana habari,, misa kiboko
Wenzetu Wale kuvaa sio sehemu ya maisha yao kukaa uchi fashion!!!Na Kanye sio mbongo ajue
Ndo inavyokua ujue anaejua mwenza ni Mungu tu!Ubaa ni kwamba si mobeto si wema hakuna atakaeolewa hapo
Atakuja kuolewa mwingine kabisa kila mtu atashangaa
Ay hajaoa juzi anaoa Leo mkuu.juzi ulikua sendoff[emoji3] [emoji3] [emoji2] si rahisi amuoe bado mdogo mnoo diamond afokasi kwenye carrier yake AY mwenyewe kaoa juzi!
Ahsante kwa marekebisho!Ay hajaoa juzi anaoa Leo mkuu.juzi ulikua sendoff
Halafu mkubwa yule lzm atakua anakaribia kwny 40 .....ila fresh tu....km kaka yao prof J...Ay hajaoa juzi anaoa Leo mkuu.juzi ulikua sendoff
Heri awe to na HamisaWema Hawana habari,, misa kiboko