Uzuri wake ninini?Mapenzi mazuri wewe..usipotoshe bana
Domo hajaumia hata...ogopa mtu anayekutafutia sababu usepe mwenyewe
Hahahahahhaaaaa aiseeee wabongo ni nomaKwani ni lini Diamond aliwahi kuwa na mahusiano na Zari..?
Zari alikua mali ya Kusaga,Diamond alikua anatumiwa tu...
Watoto wote wale(Nillan na Tiffah) sio wa Diamond ni wa Kusaga..!
Ahahaaaah..!!!
Wabongo hatari sana..!
Sana...labda ubahatikeKumbe mapenzi ni mabaya!?
Sana...labda ubahatike
love quoted as the world inspiration..................BBC make the discussion abt love that's means no one is above the love formula..................zunguka utarudMie kwa maoni yangu hata kama hujabahatika mapenzi ni matamu sana hata wale ambao hawajabahatika na baadhi kujiapiza sitaki kupenda tena bado hurudi tena ndani ya mapenzi.
Angejielewa angeenda kuzini na kiben 10 domo na kupachikwa mimba mfululizo?Ingawa mambo yao tuwaachie wenyewe...
Ila Zarina, ingawa ana mapungufu yake kama binadamu yoyote, lakini ni mwanamke ambae kiasi fulani anajielewa na kujitambua...
Ukiachana na umri aliokua nao, anaonekana ni mwanamke muelewa asiyo tegemea pande zozote wala kujutia maamuzi yake...
Sijawahi kufuatilia mambo ya watu, but she looks and sound calm...
Cc: mahondaw