BBC Focus on Africa wafanya mahojiano na Lissu, kupitia mahojiano hayo Lissu aonyesha how talented he is

Afadhali mlemavu wa viungo kuliko mlemavu wa ubongo kama wewe
Ukisikia viungo na ubongo pia kiungo ..ujuwaji mwingi mbele kiza kama uyo Rais wako wa walemavu... urudi shule kwanza halafu ndio uje JF hapa kushabikia ujinga.
 
Ukisikia viungo na ubongo pia kiungo ..ujuwaji mwingi mbele kiza kama uyo Rais wako wa walemavu... urudi shule kwanza halafu ndio uje JF hapa kushabikia ujinga.
Naona sindano imekuingia vyema maungoni ili upone kichaa chako
 
Kwa maana yako hapa ni kuwa BBC wamemkubali Magufuli kwa kazi aliyofanya?

Yaani wamem'endorse' ili waTanzania waendelee kumchagua kwa vile ameleta maendeleo?

Kama unaamini hivyo utakuwa hujui maana ya uandishi wa habari.
 
Kwa maana yako hapa ni kuwa BBC wamemkubali Magufuli kwa kazi aliyofanya?

Yaani wamem'endorse' ili waTanzania waendelee kumchagua kwa vile ameleta maendeleo?

Kama unaamini hivyo utakuwa hujui maana ya uandishi wa habari.
Swali: una mipango gani ya kumshinda Magufuli ukizingatia maendeleo aliyowapelekea watanzania pamoja na kwamba ni nchi ya kipato kidogo (her specific words were “given the circumstances”).

Sasa hapo kuna hidden message gani? Wakati kila kitu ni self explanatory. Unapoingia kwenye siasa msukumo ni kwamba unataka kuwafanyia nini watu unaotaka kuwaongoza, Lissu hayo majibu ya uchumi hana mpaka sasa.

Hata sijui mnchokiona kwa huyu mtu, Lissu ni mwanaharakati lakini si mtu mwenye majibu ya matatizo yanayowakabili watanzania.

Time will tell hana kingine cha kuwapa watanzania zaidi ya mkasa uliomkuta keshapewa pole na sio jambo zuri lililomkuta, but it’s time to move on.
 
Umekosa pad za majira?
 
wali: una mipango gani ya kumshinda Magufuli ukizingatia maendeleo aliyowapelekea watanzania pamoja na kwamba ni nchi ya kipato kidogo (her specific words were “given the circumstances”).
Kumsinda Magufuli kunategemea hiyo miundombinu pekee unayoiita maendeleo?
 

Hahahahah Teh Teh Teh hahaha[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Neat, rich, well thought, and articulate responses to interview questions. You deserve the presidency.
 
"...... We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years" -Tundu Lissu

Do they mean that they will never buy planes, work on roads, hospitals and other government buildings and provide social services??!!

Hahahahahaha TehTeh
 
Polish your English! He, throughout the interview session has reiterated that is not yet a Chadema nominee for the presidential race but has applied for that. Do not intentionally mislead the JF followers.
 
Utawafanyia nini watanzania ukilinganisha na Magufuli alivyofanya?

Jibu: Sisi tutafuta kila kitu alichofanya Magufuli na kuanza upya

Hahahaha Teh Teh Teh teh
 
Mkuu bado sijapitia haya zingine lakini kwenye hiyo haya ya kwanza nimeona makosa mengi sana
 
Polish your English! He, throughout the interview session has reiterated that is not yet a Chadema nominee for the presidential race but has applied for that. Do not intentionally mislead the JF followers.
English is my third language I mastered. My tribal language ,then Swahili then English please don't compare my English with stupid British or Americans who the only language they know in this Earth is English only!!!

My English is sufficient to be understood I don't need shoe brash to polish this colonial language

Anyway I feel ashamed to write. In English the language of colonial masters

If you feel proud to know colonial masters language your head brain is not ok you need brain operation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…