paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
These are unfulfilled plans, This is another Mrema in our countryWe will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
So what???
The BBC is filling him with ignoranceBBC they are not voters Chadema General meeting are the ones to decide who will be their. Presidential Candidate.
Lisu is a conman conning international media as if he is already selected as a Chadema presidential candidate!! Which is not true!!
Europeans take care of your wallets . Lisu is a conman and a thief.Chadema has not yet selected their presidential candidate!!! Mind your pockets and wallets
You are rightThe BBC is filling him with ignorance
Bipolar disorder at his best.BBC they are not voters Chadema General meeting are the ones to decide who will be their. Presidential Candidate.
Lisu is a conman conning international media as if he is already selected as a Chadema presidential candidate!! Which is not true!!
Europeans take care of your wallets . Lisu is a conman and a thief.Chadema has not yet selected their presidential candidate!!! Mind your pockets and wallets
"'Sympathy'ya waTanzania?"Kushinda inataka sympathy tu ya watanzania.
Wakampe ukatibu mkuu wa umoja wa mataifaBila Shaka, lissu atakua rais anayeungwa mkono dunia nzima sababu ya kuijua sheria vizuri. Tayari huko duniani wameshampitisha bado sisi sasa.
Uncouth.BBC wenyewe hawana market kwenye nchi yao, wamebakia kutoa majungu na propaganda kwenye African countries ambazo hazijitambui.
Kama wanapenda haki wasingeleta ukoloni uwe mamboleo au mambojanaNa wazungu wanapenda mpenda haki. Wao wameshatia Tick bado sisi.
Iliyotangulia kuandikwaHivi sheria iliyo andikwa kingereza ikipishana na version ya kiswahili ipi inafuatwa?
Wewe na mimi pia watanzania, kama mwenzetu unaelewa mitazamo yake ya maendeleo ya kiuchumi embu tuelezee ana mipango gani."'Sympathy'ya waTanzania?"
For what?
Naona unawavunjia heshima waTanzania mkuu kuwarahisisha kiasi hiki!
Yote aliyoshindwa kuyafanya Magufuli, na yote aliyofanya kuwaumiza waTanzania.Sasa Lissu atawambia nini wa Tz?
Kwa nini usiwe na subira. Si karejea juzi tu?Wewe na mimi pia watanzania, kama mwenzetu unaelewa mitazamo yake ya maendeleo ya kiuchumi embu tuelezee ana mipango gani.
Uweke na reference na sisi tukasilikize sio utakavyotoa kichwani kwako.
Mbona Nyalandu mtia nia mwenzie ana kijiplan chake cha uchumi ambacho anakitolea ufanunuzi iweje Lissu hana.Kwa nini usiwe na subira. Si karejea juzi tu?
Acha yeye na Chama chake wajipange, waamue watakachotaka kutueleza waTanzania. Wakati ndio huu unasogea kusikia wanachotaka kueleza.
Damn bad egg...BBC they are note voters.What is your intention comrade?BBC they are not voters Chadema General meeting are the ones to decide who will be their. Presidential Candidate.
Lisu is a conman conning international media as if he is already selected as a Chadema presidential candidate!! Which is not true!!
Europeans take care of your wallets . Lisu is a conman and a thief.Chadema has not yet selected their presidential candidate!!! Mind your pockets and wallets
Una tatizo.Mbona Nyalandu mtia nia mwenzie ana kijiplan chake cha uchumi ambacho anakitolea ufanunuzi iweje Lissu hana.
Jibu ni jepesi Tundu Lissu anataka kugombea uraisi kutokana na sympathy tu, lakini yeye mwenyewe hajui anata kuwafanyia nini watanzania.
Ndio maana akiulizwa kuhusu uchumi anatoa majibu ya ovyo; wewe unataka kusema zahanati kila mahala hazina tija, shule kukarabatiwa hakuna tija, vivuko vinavyowekwa kwenye maziwa havina tija.
Naweza kuandika yaliyofanyika yanayowagusa watu moja kwa moja chungumzima. Halafu atokee mtu anakwambia atafanya kinyume na hapo huyo timamu kweli?
Kama ulisoma mpaka kidato cha nne kuna mada kwenye somo la Historia inaitwa Colonial Economy na nyingine Colonial Social Services... hao walikua wazungu wakafanya hivyo apa Afrika ila muda ukifika wakafurushwa .Mbona Nyalandu mtia nia mwenzie ana kijiplan chake cha uchumi ambacho anakitolea ufanunuzi iweje Lissu hana.
Jibu ni jepesi Tundu Lissu anataka kugombea uraisi kutokana na sympathy tu, lakini yeye mwenyewe hajui anata kuwafanyia nini watanzania.
Ndio maana akiulizwa kuhusu uchumi anatoa majibu ya ovyo; wewe unataka kusema zahanati kila mahala hazina tija, shule kukarabatiwa hakuna tija, vivuko vinavyowekwa kwenye maziwa havina tija.
Naweza kuandika yaliyofanyika yanayowagusa watu moja kwa moja chungumzima. Halafu atokee mtu anakwambia atafanya kinyume na hapo huyo timamu kweli?
Ndiyo maana wewe umetumia kifaa ulichotengeza apo uswazi kujibu huyu mtu!Kiingereza ni lugha tu kama Kiswahili, labda kama bado mnaendelea kuwaabudu wazungu ambao walibeba babu zenu kama watumwa.
chuma kiko njema sana.Focus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds
Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali, sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo
Machache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo ni haya hapa chini:
We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu