BBC Focus on Africa wafanya mahojiano na Lissu, kupitia mahojiano hayo Lissu aonyesha how talented he is

BBC Focus on Africa wafanya mahojiano na Lissu, kupitia mahojiano hayo Lissu aonyesha how talented he is

We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
These are unfulfilled plans, This is another Mrema in our country

Poleni BBC Kwa kuendelea kupoteza muda wenu
 
BBC they are not voters Chadema General meeting are the ones to decide who will be their. Presidential Candidate.

Lisu is a conman conning international media as if he is already selected as a Chadema presidential candidate!! Which is not true!!

Europeans take care of your wallets . Lisu is a conman and a thief.Chadema has not yet selected their presidential candidate!!! Mind your pockets and wallets
The BBC is filling him with ignorance
 
BBC they are not voters Chadema General meeting are the ones to decide who will be their. Presidential Candidate.

Lisu is a conman conning international media as if he is already selected as a Chadema presidential candidate!! Which is not true!!

Europeans take care of your wallets . Lisu is a conman and a thief.Chadema has not yet selected their presidential candidate!!! Mind your pockets and wallets
Bipolar disorder at his best.
 
Bila Shaka, lissu atakua rais anayeungwa mkono dunia nzima sababu ya kuijua sheria vizuri. Tayari huko duniani wameshampitisha bado sisi sasa.
Wakampe ukatibu mkuu wa umoja wa mataifa
 
"'Sympathy'ya waTanzania?"
For what?

Naona unawavunjia heshima waTanzania mkuu kuwarahisisha kiasi hiki!
Wewe na mimi pia watanzania, kama mwenzetu unaelewa mitazamo yake ya maendeleo ya kiuchumi embu tuelezee ana mipango gani.

Uweke na reference na sisi tukasilikize sio utakavyotoa kichwani kwako.
 
Wewe na mimi pia watanzania, kama mwenzetu unaelewa mitazamo yake ya maendeleo ya kiuchumi embu tuelezee ana mipango gani.

Uweke na reference na sisi tukasilikize sio utakavyotoa kichwani kwako.
Kwa nini usiwe na subira. Si karejea juzi tu?
Acha yeye na Chama chake wajipange, waamue watakachotaka kutueleza waTanzania. Wakati ndio huu unasogea kusikia wanachotaka kueleza.
 
Kwa nini usiwe na subira. Si karejea juzi tu?
Acha yeye na Chama chake wajipange, waamue watakachotaka kutueleza waTanzania. Wakati ndio huu unasogea kusikia wanachotaka kueleza.
Mbona Nyalandu mtia nia mwenzie ana kijiplan chake cha uchumi ambacho anakitolea ufanunuzi iweje Lissu hana.

Jibu ni jepesi Tundu Lissu anataka kugombea uraisi kutokana na sympathy tu, lakini yeye mwenyewe hajui anata kuwafanyia nini watanzania.

Ndio maana akiulizwa kuhusu uchumi anatoa majibu ya ovyo; wewe unataka kusema zahanati kila mahala hazina tija, shule kukarabatiwa hakuna tija, vivuko vinavyowekwa kwenye maziwa havina tija.

Naweza kuandika yaliyofanyika yanayowagusa watu moja kwa moja chungumzima. Halafu atokee mtu anakwambia atafanya kinyume na hapo huyo timamu kweli?
 
October ifike haraka wajulikane marofa ni kina nani, iwe zawadi kwa Mkapa. RIP
 
BBC they are not voters Chadema General meeting are the ones to decide who will be their. Presidential Candidate.

Lisu is a conman conning international media as if he is already selected as a Chadema presidential candidate!! Which is not true!!

Europeans take care of your wallets . Lisu is a conman and a thief.Chadema has not yet selected their presidential candidate!!! Mind your pockets and wallets
Damn bad egg...BBC they are note voters.What is your intention comrade?
Ni vizuri kutumia lugha yako unayoweza kwakweli
 
Mbona Nyalandu mtia nia mwenzie ana kijiplan chake cha uchumi ambacho anakitolea ufanunuzi iweje Lissu hana.

Jibu ni jepesi Tundu Lissu anataka kugombea uraisi kutokana na sympathy tu, lakini yeye mwenyewe hajui anata kuwafanyia nini watanzania.

Ndio maana akiulizwa kuhusu uchumi anatoa majibu ya ovyo; wewe unataka kusema zahanati kila mahala hazina tija, shule kukarabatiwa hakuna tija, vivuko vinavyowekwa kwenye maziwa havina tija.

Naweza kuandika yaliyofanyika yanayowagusa watu moja kwa moja chungumzima. Halafu atokee mtu anakwambia atafanya kinyume na hapo huyo timamu kweli?
Una tatizo.

Lissu amerudi juzi, hajakaa sawa, unataka aeleze kila kitu atavyofanya..., kwa nini huna subira na unakimbilia hitimisho. Kama hilo sio tatizo ni nini.

Hayo yote ya vitu unayoyaeleza kama uchumi, huo uchumi una maana gani kwa watu ambao ni 'mateka'. Huo uchumi una maana gani kwao.

Hivyo vitu, Zahanati, shule, barabara,n.k., zinazuiwa kuwepo watu wakiwa huru na haki zao bila kukanyagwa?
 
Mbona Nyalandu mtia nia mwenzie ana kijiplan chake cha uchumi ambacho anakitolea ufanunuzi iweje Lissu hana.

Jibu ni jepesi Tundu Lissu anataka kugombea uraisi kutokana na sympathy tu, lakini yeye mwenyewe hajui anata kuwafanyia nini watanzania.

Ndio maana akiulizwa kuhusu uchumi anatoa majibu ya ovyo; wewe unataka kusema zahanati kila mahala hazina tija, shule kukarabatiwa hakuna tija, vivuko vinavyowekwa kwenye maziwa havina tija.

Naweza kuandika yaliyofanyika yanayowagusa watu moja kwa moja chungumzima. Halafu atokee mtu anakwambia atafanya kinyume na hapo huyo timamu kweli?
Kama ulisoma mpaka kidato cha nne kuna mada kwenye somo la Historia inaitwa Colonial Economy na nyingine Colonial Social Services... hao walikua wazungu wakafanya hivyo apa Afrika ila muda ukifika wakafurushwa .
 
Kiingereza ni lugha tu kama Kiswahili, labda kama bado mnaendelea kuwaabudu wazungu ambao walibeba babu zenu kama watumwa.
Ndiyo maana wewe umetumia kifaa ulichotengeza apo uswazi kujibu huyu mtu!
Ndege iliyobeba mwili wa Mh.Mkapa imetengezewa apo Nyarugusi...aaaah tuache kuwatukuza wazungu.
 
Focus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds

Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali, sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo

Machache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo ni haya hapa chini:

We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
chuma kiko njema sana.

aisee I can't wait for the presidential campaign to kick off.... It'll be moto moto!!
 
Back
Top Bottom