Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baniani mbaya, kiatu chake dawa!
Njaa mbaya sana Mungu atusaidie tuitokomeze!Sisi hatuna waandishi wa habari, tuna genge la wahuni wa kusifia kampeni za CCM tu.
Usishangae ukiambiwa na serikali yako kwamba ni hujuma za mabeberu.Aisee mpaka tunapoongea hivi sasa moto unawaka sana sana, na pia unazidi kuongezeka distance wakati wa usiku kwasababu ya upepo, Mimi nimekaribia hata ukikaa mita kadhaa joto ni kali mno.
Halafu wakati huohuo kwenye mlima wa usangi pia kuna moto unaonekana kwa mbali na pia ni mkubwa kweli.
Sijui ni nini hiki
Ni sawa na wewe unavyotekeleza matakwa ya bwana ako PolepoleBbc ni chombo cha kipropaganda cha mabeberu
Wanatekeleza matakwa ya mabwana zao
Wanajaribu kui ignore Tanzania ila kwa neema za Mungu tutasonga bila wao
Shame upon them wakitangaza habari esp za Tanzania haziwi ballanced
Wanawahoji vibaraka wao tu bila kupata majibu ya upande wa pili
Hivi ulimaliza darasa la 7 kweli?Watu wa Kilimanjaro wanaadhibiwa kwa moto sababu ya kupenda chadema. Wahamie ccm moto utazimika
Ndio maana Lissu anataka muwe na mabeberu kwa kuwa mnatumia vitu vyao?Mabeberu ndiyo waliotengeneza hiyo device unayotumia kuchat JF
Hamna kitu chief, Tz tumejaliwa kuwa na vitu kibao vya kuvipa millage achana na siasa! Nikupe mfanoMleta mada unamjua Azory Gwanda?
Nimeisikia hiyo habari asubuhi hii msemaji wa Tanapa anasema eti walishirikiana na wanafunzi wa vyuo vikuu vya Moshi.Niliona wanafunzi wa chuo cha mweka wanakwenda huko asubuhi kwa mbwembwe kweli, nikajua watauzima mara moja ila kufika usiku bado moto unaonekana ni mkubwa.
Nafikiri inahitajika nguvu kubwa zaidi ya kuuzima kwasababu kama mtu upo moshi mjini na unauona huo moto, maana yake ni mkubwa sana.