dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahahahahhaha jibu murua kabisaMabeberu ndiyo waliotengeneza hiyo device unayotumia kuchat JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahhaha jibu murua kabisaMabeberu ndiyo waliotengeneza hiyo device unayotumia kuchat JF
Yaani ukitazama TV stations za Kenya na Uganda via DSTV yaani unaona debates za issues za nchi yaani mpaka unaona raha ila sasa ukija huku bongo looh! ukiweka TBC hapo ni tunatekeleza tu asubuhi mpaka jioni, weka Channel10 hapo ndio usiseme promotion Tv ya chama yaani No debates.kwa wanahabari hawa akina Pasco njaa kali hadi kwenye kope usitegemee chochote zaidi ya mapambio ya kusifu na kuabudu.
Mkuu nakupa siku mbili unitake radhi
Mara ngapi kwa siku hadi dose ikamilike ?Mkuu nakupa siku mbili unitake radhi