Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Aisee kumbe likes za mabeberu zilikua nyingi eh?Hamna kitu chief, tz tumejaliwa kuwa na vitu kibao vya kuvipa millage acahana na siasa! Nikupe mfano
BBC world wali tangaza habari ya tukio la jamii ya wamasai walifanya mkutano mkubwa sanaaa ambao unawakutanisha wa masai wa kenya na Tz ile habar ktk page ya BBC ili pata likes nyingi sana wazungu wengi wali comment kuhusu jamii ya maasai, tena ni hivi majuzi tu mwezi Sept.
Sasa swali ni je, hivi wanahabari wetu vitu kama hiv wao hawa vioni?
Ukwelini kwamba wana habari wengi wa tz ni siasa tu wao
Na issue sio likes wwaisee kumbe likes za mabeberu zilikua nyingi eh?
kwa wanahabari hawa kina Pasco njaa kali hadi kwenye kope usitegemee chochote zaidi ya mapambio ya kusifu na kuabudu.Na issue sio likes ww
Tukio lina tokea nchin kwako ww mwana habari hujui anatoka mtu toka nje ya nchi ana kujanku ripoti tukio ilo then mwanahabari ana kenua meno tu
Ata lile tukionla wanyama kuhama toka Tz kwenda Kenya wana habari wa tz walikuwa hawajui ni mpaka walipo kujaa CGTN waka rusha live bac ndio ikawa story globally .... Rubbish kabisa
Nafikiri hukumuelewa Mtoa mada. Yeye alimtaka Mwandishi yule wa BBC kufika kwenye eneo la tukio kisha kuripoti habari ile. Yaani angesema "Nikiripoti kutoka eneo la Ml. Kilimanjaro ni mimi...Watu kweli mna issues za ajabu. Yaani tatizo lako ni aliye toa ripoti Na uraia wake wala sio habari zenyewe? Anyways Emmanuel Igunza licha ya kuwa raia wa Kenya ni mwandishi wa BBC. Pili, mlima Kilimanjaro upon TZ ila view ya mlima huo ukiwa upande wa Kenya haswa Amboseli ni breathtaking.
Eti inaumiza sana, kwa hivyo alipaswa kunyamaza hata kama ameliona tukio?
Na device ya kuzima moto piaMabeberu ndiyo waliotengeneza hiyo device unayotumia kuchat JF
Naye yule akili yake bhana ,yani Kuna baadhi ya watu akili zao Ni majangaWaandishi wa habari wa ndani ya nchi kama Paskali mayalla wako busy kuandaa makala za kumsifia jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna haki wala ruhsa ya kuyasema haya kwa umma wa watanzania na dunia nzima kaa kimya wenye mamlaka watatoa taarifa za uongo na sio hizo zako.Aisee mpaka tunapoongea hivi sasa moto unawaka sana sana, na pia unazidi kuongezeka distance wakati wa usiku kwasababu ya upepo, Mimi nimekaribia hata ukikaa mita kadhaa joto ni kali mno.
Halafu pale ni Kilimanjaro National Park (KINAPA) sio mlimani hasa
Na wakati huohuo kwenye mlima wa usangi pia kuna moto unaonekana kwa mbali na pia ni mkubwa kweli.
Sijui ni nini hiki
Kweli mkuu hata mimi nasikiliza radio mda sasa lakini sjaskia habari hii maana yake vyombo vyote vya habari vya hapa nchini vimetii amri ya meko jiweVyombo vya habari vimeshaambiwa visiripoti kitu ambacho hakija thibitishwa na Serikali wakifanya hivyo wanafungiwa sasa wameamua kukaa pembeni, wakiripoti serikali itawajia juu na kuwaambia wanaichafua nchi yao, usishangae ndio sheria inavyo wataka waandishi wa kitanzania wakae pembeni kama kufungiwa na kulipa faini wamefanyiwa hivyo sana. labda anaweza akaripoti mtangazaji wa TBC maana wao ndio wenye serikali na hawawezi kufanywa lolote
Sasa kama wenye mamlaka watatoa taarifa za uongo si ni bora mimi nitoe taarifa za kweli?Huna haki wala ruhsa ya kuyasema haya kwa umma wa watanzania na dunia nzima kaa kimya wenye mamlaka watatoa taarifa za uongo na sio hizo zako
Usilumbane na mtoa taarifa, pambana na taarifa.Huna haki wala ruhsa ya kuyasema haya kwa umma wa watanzania na dunia nzima kaa kimya wenye mamlaka watatoa taarifa za uongo na sio hizo zako
Nipo la 1AHivi ulimaliza darasa la 7 kweli?