BBC: Kenya imeingia makubaliano na UK kuwapatia madaktari wake ajira

BBC: Kenya imeingia makubaliano na UK kuwapatia madaktari wake ajira

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Nimesikiliza dira ya dunia kwenye matangazo ya leo wanasema Kenya na uingereza wameingia makubaliano ambapo kupitia hayo makubaliano, madaktari wasiokua na ajira watapatiwa ajira hizo nchini uingereza.

Naomba viongozi wetu waige ubunifu wa aina hii. Tusibakie na ubunifu wa kudhibiti wapinzani na kupandisha tozo mara dufu.

Nadhani tungeweza kuongea vizuri na viongozi wa dunia tungetafutia ajira walimu wa kiswhili, maana ndiyo bidhaa tunayoimiliki kwa wingi na kwa uhakika.

Inasikitisha pale unamsikia kiongozi mwenye dhamana akiwalaumu vijana kwamba hawana uthubutu na ubunifu wakati wao wameshindwa kubuni fursa za ajira kwa vijana.
 
Ni vema Sana...Kenya na UK Wana uhusiano wa mda mrefu sana,,niliona documentary moja ilikua inaonyesha Jeshi la Uingereza likifanya mazoezi huko Northern Kenya kwenye jangwa
 
Lugha na Elimu Watanzania bado tupo nyuma kimatibabu
ona Nurse anatoboa kichupa cha chanjo bila gloves hajui ni hatari kuwashika kila mtu, je hiyo chanjo haiwezi kuvuja?
 
Lugha na Elimu Watanzania bado tupo nyuma kimatibabu
ona Nurse anatoboa kichupa cha chanjo bila gloves hajui ni hatari kuwashika kila mtu, je hiyo chanjo haiwezi kuvuja?

hapa una maoni gani?

skynews-boris-johnson-covid-19_5404338.jpg
 
Na miezi michache iliyopita Serikali ya UK imeanza kuajiri madaktari, manesi na wengine kwenye field hiyo kwa wingi.
Madaktari kutoka India wanapata shida ya kuwasiliana kwa Kiingereza, inahatarisha maisha ya raia wao. Afadhali madaktari kutoka Kenya hawatakua na language barrier na wagonjwa wao.
 
Na miezi michache iliyopita Serikali ya UK imeanza kuajiri madaktari, manesi na wengine kwenye field hiyo kwa wingi.
Covid imetengeneza ajira sana hospitali na nursing homes. Regulations zinasema kila baada ya lisaa limoja sakafu na vitasa vya milango visafishwe. Portugal walitangaza nafasi za kazi kwa hospital cleaners kutoka Africa.
 
Na miezi michache iliyopita Serikali ya UK imeanza kuajiri madaktari, manesi na wengine kwenye field hiyo kwa wingi.
Wasije wakawa wanataka kamikaze soldiers kwenda kupambana na delta variant 🤣
 
Ni vema Sana...Kenya na UK Wana uhusiano wa mda mrefu sana,,niliona documentary moja ilikua inaonyesha Jeshi la Uingereza likifanya mazoezi huko Northern Kenya kwenye jangwa

Wabongo mambo mengine yakawaida kabisa mnashobokea hadi mnatia aibu.

 
Nimesikiliza dira ya dunia kwenye matangazo ya leo wanasema Kenya na uingereza wameingia makubaliano ambapo kupitia hayo makubaliano, madaktari wasiokua na ajira watapatiwa ajira hizo nchini uingereza...

Maswali ya kujiuliza, je wataalam wa maswala ya afya nchini Kenya, wapo wa kutosha???
Maana bara la Afrika ni la ajabu sana. Mfano Malawi ina madaktari wengi wanaofanya kazi Uingereza kuliko wanaofanya kazi nchini mwao.
 
Yeah! Because they are all corrupt and the record speaks for itself and for so many years now, unless you’re running from the TRUTH.
You are always sick of any regime of the day.
 
Pia baadhi ya madaktari, manesi na wengine kwenye field hiyo wanahamia kwa wingi USA, Canada na Australia.
Covid imetengeneza ajira sana hospitali na nursing homes. Regulations zinasema kila baada ya lisaa limoja sakafu na vitasa vya milango visafishwe. Portugal walitangaza nafasi za kazi kwa hospital cleaners kutoka Africa.
 
Yeah! Because they are all corrupt and the record speaks for itself and for so many years now, unless you’re running from the TRUTH.

Do you think complaining under keyboard will take you somewhere?
 
Madaktari kutoka India wanapata shida ya kuwasiliana kwa Kiingereza, inahatarisha maisha ya raia wao. Afadhali madaktari kutoka Kenya hawatakua na language barrier na wagonjwa wao.
Kunyaland hii hii ya accent za Gikuyu? na Kunyaland hii hii ilichukua madaktari Cuba kutokana na upungufu!
 
Kunyaland hii hii ya accent za Gikuyu? na Kunyaland hii hii ilichukua madaktari Cuba kutokana na upungufu!
Uingereza inashindwa kuchukua madaktari Cuba sababu ya language barrier, Wahindi ni shida sana kuwasiliana na wagonjwa. Kenya wana Kiingereza kizuri hasa kwa kuandika.

I
 
Back
Top Bottom