Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulivo zuzu ukajaa na zile movie za putin na wagnaHayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.
marekani anataka kuchukua point bila kazi yeyote. aseme tu hakujua lolote. kama alijua mbona hakutoa taarifa?View attachment 2668368
Wakati maasi ya Prigozhin yalionekana kuipata Kremlin kwa ghafla mashirika ya kijasusi ya Marekani yalikuwa tayari yamepata ishara kwamba alikuwa akipanga kuchukua hatua na yalikuwa yamemjulisha Rais Biden pamoja na viongozi wakuu wa bunge mapema wiki hii, vyombo vya habari vya Marekani viliripoti.
Habari za kijasusi za Marekani ziligundua kuwa kiongozi wa kundi la mamluki alikuwa akikusanya silaha, risasi na vifaa vingine karibu na mpaka na Urusi, CNN iliripoti.
Gazeti la New York Times linaripoti kuwa Rais Biden alizungumza na viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kwa sababu ya wasiwasi kwamba udhibiti wa Putin wa silaha kubwa za nyuklia za Urusi ungeweza kumponyoka katikati ya machafuko hayo.
Wakuu wa kijasusi wa Marekani walikuwa wakifuatilia uhusiano unaozidi kuzorota kati ya Prigozhin na maafisa wa ulinzi wa Urusi kwa miezi kadhaa na ujasusi ulibaini kuwa ni ishara kwamba vita vya Ukraine vinakwenda vibaya kwa Wagner na wanajeshi wa kawaida, gazeti hilo linasema.
BBC
Hakuna mkono wala mguu maana huo uasi haujatokea kama walipanga hivyo CIA otherwise useme waliingizwa mkenge wakatoa hela kwa prigozhin akawapiga kidole cha kati [emoji867]CIA wana mkono kwenye uasi uliotokea jana, matarajio yao nchi ingeingia kwenye machafuko makubwa. Mambo yamekuwa kinyume.
Huna akili ya mrusi wewe endelea kulima maboga hapo kijijini kwenuHayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.
Wewe kila kitu cha USA kinakuuma, Amerika ni baba lenu bwana, saizi boss wenu anahangaika na mamluki hadi aibu kwenu"Vita ya Ukrein inakwande vibaya Kwa Wagner na wanajeshi wakawaida"..ukisoma hii sentence unagundua kabisa kuwa hawakua na taarifa zozote bali ni propaganda Kwa kujifanya wanafahamu Kila kitu.
Jambo lakujiuliza ni je?.
Kati ya Wagner na wanajeshi wa urusi dhidi ya wanajeshi wa ukrein ninani kati yao vita/SMO inawaendea vibaya?. Jibu lake Kila mwenye ufahamu na akili timamu analifahamu.
Akili zako ni finyu sana brazaHakuna mkono wala mguu maana huo uasi haujatokea kama walipanga hivyo CIA otherwise useme waliingizwa mkenge wakatoa hela kwa prigozhin akawapiga kidole cha kati [emoji867]
Kama walitoa hela kwa Prigozhin unawezaje kusema hakuna mkono wao?!Hakuna mkono wala mguu maana huo uasi haujatokea kama walipanga hivyo CIA otherwise useme waliingizwa mkenge wakatoa hela kwa prigozhin akawapiga kidole cha kati [emoji867]
Ndo mkenge huo sasa hela zimekwenda na uasi kushnehii nisome vizuri uelewe.Kama walitoa hela kwa Prigozhin unawezaje kusema hakuna mkono wao?!
Bora mie finyu ninazo nimetoa maelezo wewe hata kutoa maelezo ya ufinyu wangu umeshindwa jipime kama unazo hizo akili.Akili zako ni finyu sana braza
Uongo wanajulishwa tu,vipi na ikiwa walichezea game,kama wakilalama ushindi wa Mzee Trumpet ulichangiwa na Mosco, iweje leo wajimwambafai kinara viwango hivi?Kila siku kulia mashambulio ya kimtandao kutoka Mosco😂View attachment 2668368
Wakati maasi ya Prigozhin yalionekana kuipata Kremlin kwa ghafla mashirika ya kijasusi ya Marekani yalikuwa tayari yamepata ishara kwamba alikuwa akipanga kuchukua hatua na yalikuwa yamemjulisha Rais Biden pamoja na viongozi wakuu wa bunge mapema wiki hii, vyombo vya habari vya Marekani viliripoti.
Habari za kijasusi za Marekani ziligundua kuwa kiongozi wa kundi la mamluki alikuwa akikusanya silaha, risasi na vifaa vingine karibu na mpaka na Urusi, CNN iliripoti.
Gazeti la New York Times linaripoti kuwa Rais Biden alizungumza na viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kwa sababu ya wasiwasi kwamba udhibiti wa Putin wa silaha kubwa za nyuklia za Urusi ungeweza kumponyoka katikati ya machafuko hayo.
Wakuu wa kijasusi wa Marekani walikuwa wakifuatilia uhusiano unaozidi kuzorota kati ya Prigozhin na maafisa wa ulinzi wa Urusi kwa miezi kadhaa na ujasusi ulibaini kuwa ni ishara kwamba vita vya Ukraine vinakwenda vibaya kwa Wagner na wanajeshi wa kawaida, gazeti hilo linasema.
BBC
Zaidi ya yote wanadai miji imegeuzwa mapagala🏃🏃[emoji41][emoji41][emoji848][emoji848]
masaa 48 yameisha boss na ni mwaka wa pili huu..ukraine iko poah kabisaaView attachment 2668556View attachment 2668557
na haija sambaratishwa iko pale pale na maisha yana songa....bata batani...
Kama mnadhani walikuwa na mkono kwenye uasi ule, kwanini hamuwaamini wakisema walijua kuhusu kutokea kwa uasi huo mapema kabla haujatokea ?CIA wana mkono kwenye uasi uliotokea jana, matarajio yao nchi ingeingia kwenye machafuko makubwa. Mambo yamekuwa kinyume.
Binafsi naamini walijua na pengine hata kuhusika kwenye uratibu; bahati mbaya sana kwao uasi haukufika walikotarajia.Kama mnadhani walikuwa na mkono kwenye uasi ule, kwanini hamuwaamini wakisema walijua kuhusu kutokea kwa uasi huo mapema kabla haujatokea ?
.kwa hiyo bado huaamini ukraine imegeuka magofu nenda hata uka guugo uone nchi imerudi nyuma 1880 huko..
Umejiuliza Kwa Nini NATO hawaingii kijeshi?Hayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.
Dollar Inawafia mikononi wapo wapo tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna mkono wala mguu maana huo uasi haujatokea kama walipanga hivyo CIA otherwise useme waliingizwa mkenge wakatoa hela kwa prigozhin akawapiga kidole cha kati [emoji867]
Dollar imekua si lolote si chochote zaidi ya karatasi iliyoaminiwa.CIA ndio iliiangusha USSR, tuwe na heshima pale tunapoitaja CIA.
Sasa kama udhaifu umeonekana basi si NATO waende sasa wakawavamie mbona simpo tu.Hayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.