BBC: Marekani ilijua kuwa mkuu wa Wagner alikuwa akipanga kuchukua hatua kabla ya uasi wake

BBC: Marekani ilijua kuwa mkuu wa Wagner alikuwa akipanga kuchukua hatua kabla ya uasi wake

Hayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.
 
Hayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.
ulivo zuzu ukajaa na zile movie za putin na wagna
wenzako wamehamishia majeshi beralus ili kuivaa kiev wew zumbukuku unaharisha huku...
 
View attachment 2668368
Wakati maasi ya Prigozhin yalionekana kuipata Kremlin kwa ghafla mashirika ya kijasusi ya Marekani yalikuwa tayari yamepata ishara kwamba alikuwa akipanga kuchukua hatua na yalikuwa yamemjulisha Rais Biden pamoja na viongozi wakuu wa bunge mapema wiki hii, vyombo vya habari vya Marekani viliripoti.

Habari za kijasusi za Marekani ziligundua kuwa kiongozi wa kundi la mamluki alikuwa akikusanya silaha, risasi na vifaa vingine karibu na mpaka na Urusi, CNN iliripoti.

Gazeti la New York Times linaripoti kuwa Rais Biden alizungumza na viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kwa sababu ya wasiwasi kwamba udhibiti wa Putin wa silaha kubwa za nyuklia za Urusi ungeweza kumponyoka katikati ya machafuko hayo.

Wakuu wa kijasusi wa Marekani walikuwa wakifuatilia uhusiano unaozidi kuzorota kati ya Prigozhin na maafisa wa ulinzi wa Urusi kwa miezi kadhaa na ujasusi ulibaini kuwa ni ishara kwamba vita vya Ukraine vinakwenda vibaya kwa Wagner na wanajeshi wa kawaida, gazeti hilo linasema.

BBC
marekani anataka kuchukua point bila kazi yeyote. aseme tu hakujua lolote. kama alijua mbona hakutoa taarifa?
 
CIA wana mkono kwenye uasi uliotokea jana, matarajio yao nchi ingeingia kwenye machafuko makubwa. Mambo yamekuwa kinyume.
Hakuna mkono wala mguu maana huo uasi haujatokea kama walipanga hivyo CIA otherwise useme waliingizwa mkenge wakatoa hela kwa prigozhin akawapiga kidole cha kati [emoji867]
 
Hayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.
Huna akili ya mrusi wewe endelea kulima maboga hapo kijijini kwenu
 
"Vita ya Ukrein inakwande vibaya Kwa Wagner na wanajeshi wakawaida"..ukisoma hii sentence unagundua kabisa kuwa hawakua na taarifa zozote bali ni propaganda Kwa kujifanya wanafahamu Kila kitu.

Jambo lakujiuliza ni je?.

Kati ya Wagner na wanajeshi wa urusi dhidi ya wanajeshi wa ukrein ninani kati yao vita/SMO inawaendea vibaya?. Jibu lake Kila mwenye ufahamu na akili timamu analifahamu.
Wewe kila kitu cha USA kinakuuma, Amerika ni baba lenu bwana, saizi boss wenu anahangaika na mamluki hadi aibu kwenu
 
Hakuna mkono wala mguu maana huo uasi haujatokea kama walipanga hivyo CIA otherwise useme waliingizwa mkenge wakatoa hela kwa prigozhin akawapiga kidole cha kati [emoji867]
Kama walitoa hela kwa Prigozhin unawezaje kusema hakuna mkono wao?!
 
View attachment 2668368
Wakati maasi ya Prigozhin yalionekana kuipata Kremlin kwa ghafla mashirika ya kijasusi ya Marekani yalikuwa tayari yamepata ishara kwamba alikuwa akipanga kuchukua hatua na yalikuwa yamemjulisha Rais Biden pamoja na viongozi wakuu wa bunge mapema wiki hii, vyombo vya habari vya Marekani viliripoti.

Habari za kijasusi za Marekani ziligundua kuwa kiongozi wa kundi la mamluki alikuwa akikusanya silaha, risasi na vifaa vingine karibu na mpaka na Urusi, CNN iliripoti.

Gazeti la New York Times linaripoti kuwa Rais Biden alizungumza na viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kwa sababu ya wasiwasi kwamba udhibiti wa Putin wa silaha kubwa za nyuklia za Urusi ungeweza kumponyoka katikati ya machafuko hayo.

Wakuu wa kijasusi wa Marekani walikuwa wakifuatilia uhusiano unaozidi kuzorota kati ya Prigozhin na maafisa wa ulinzi wa Urusi kwa miezi kadhaa na ujasusi ulibaini kuwa ni ishara kwamba vita vya Ukraine vinakwenda vibaya kwa Wagner na wanajeshi wa kawaida, gazeti hilo linasema.

BBC
Uongo wanajulishwa tu,vipi na ikiwa walichezea game,kama wakilalama ushindi wa Mzee Trumpet ulichangiwa na Mosco, iweje leo wajimwambafai kinara viwango hivi?Kila siku kulia mashambulio ya kimtandao kutoka Mosco😂
 
CIA wana mkono kwenye uasi uliotokea jana, matarajio yao nchi ingeingia kwenye machafuko makubwa. Mambo yamekuwa kinyume.
Kama mnadhani walikuwa na mkono kwenye uasi ule, kwanini hamuwaamini wakisema walijua kuhusu kutokea kwa uasi huo mapema kabla haujatokea ?
 
Kama mnadhani walikuwa na mkono kwenye uasi ule, kwanini hamuwaamini wakisema walijua kuhusu kutokea kwa uasi huo mapema kabla haujatokea ?
Binafsi naamini walijua na pengine hata kuhusika kwenye uratibu; bahati mbaya sana kwao uasi haukufika walikotarajia.

Hawakutegemea kuwa ungezimwa ndani ya siku ya kwanza, tena pasipo madhara yoyote. Ushahidi ni kauli za Blinken alizotoa leo.
 
CIA ndio iliiangusha USSR, tuwe na heshima pale tunapoitaja CIA.
 
kwa hiyo bado huaamini ukraine imegeuka magofu nenda hata uka guugo uone nchi imerudi nyuma 1880 huko..
.
JamiiForums-609949113.jpg
 
Hayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.
Umejiuliza Kwa Nini NATO hawaingii kijeshi?
 
Hayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.
Sasa kama udhaifu umeonekana basi si NATO waende sasa wakawavamie mbona simpo tu.
 
Back
Top Bottom