Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Safi sana mkuu Acha tu wauwawe .Embu anzisheni Uzi wa wapendao Ukrean tuu.Askari elfu 40 Wengi saña[emoji848]
View attachment 2163955
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana mkuu Acha tu wauwawe .Embu anzisheni Uzi wa wapendao Ukrean tuu.Askari elfu 40 Wengi saña[emoji848]
View attachment 2163955
Kunywa kirikuuu hapo kwa MangiAnguko la kwanza la Russia lilikuwa 1990,hili litakuwa la pili na la mwisho,baada ya hapa watoto wetu watakuja kusoma tu historia kama vile sisi tulivyosoma Historia ya iliyokuwa USSR
Nakuomba ufafanue mkuuRussia anapigana na NATO technically speaking
Safi sana mkuu .kama wataweza kuvitumia nitafurahi SanaUkraine alikua na vifaru 78 tu wakati vita inaanza ila hadi jana kateka vifaru 117 vya mvamizi
SourceAskari elfu 40 Wengi saña🤔
View attachment 2163955
Sawa ukishakua shabiki wa Vita huwezi elewa kinachosemwaAnzisha chombo chako utupe habar za Ukraine kutu
Reincarnation!Putin ni jiwe aliehai
Hawawezi kuvitumia kamwe hawana ujuzi vitawaua wew subiriSafi sana mkuu .kama wataweza kuvitumia nitafurahi Sana
Jamaa unaushabiki mbaya Sana,Sioni Sura yako lakini huenda machozi yanakutoka,Kila habari ya Ukraine kuua hata mwanajeshi mmoja wa Russia unasema ni propaganda. Kila Kitu unapinga utafikili upo Frontline.Hawawezi kuvitumia kamwe hawana ujuzi vitawaua wew subiri
NATO Hawawezi ingiza majeshi yao ukraine,ila through Volunteers,majeshi yote yamo ukraine..Nakuomba ufafanue mkuu
Weka ushahidi apaUkraine inaandika kwa kupewa silaha za kivita na USA na EU pamoja na askari wa msaada wa mapambano badala ya kutumia silaha zake halisi, hivi kweli ni akili zako binafsi au dishi lako limeyumba [emoji848][emoji23]
Siongei kwa ushabiki Mkuu mm siko Ukraine Wala Russia mm nnchobase ni mazungumzo peacefully resolution ayo mambo ya Vita mnachochea ninyi NATO ,kwann mtoe taarifa pande moja ili kuwapanikisha warusi ,kwann CNN ,BBC, skynews wasibase kweny usuluhishi na si mapigano Leo hii hatujui idadi ya wanajeshi wa Ukraine waliokufa Ila kila mda ni Russia ,haina umuhimu katika kuleta amani kwa pande zote mbili.Jamaa unaushabiki mbaya Sana,Sioni Sura yako lakini huenda machozi yanakutoka,Kila habari ya Ukraine kuua hata mwanajeshi mmoja wa Russia unasema ni propaganda. Kila Kitu unapinga utafikili upo Frontline.
Unasema Ukraine hawezi kuviendesha Vifaru vya Urusi? Wewe utakuwa na taarifa Finyu kuhusu Ukraine. Ukraine ambaye Wanajeshi wake wanaendesha vizuri kabisa ndege za Urusi Kama Su-27,Su-24 na Mig-29 na Mig-34 ndio washindwe kuendesha Vifaru vya Urusi? Mahaba kwa Urusi yatakutia upofu na Mwisho utakufa.
Putin ni jiwe aliehai
Urusi ameshindwa kutangaza kwa jamaa na mama na ndugu wa watoto wao ambao ni majeshi ya russia namna washavouliwa amebana kimya hadi leo miili ya maiti zao zimezagaa Ukraine, unafkiri mtu katili kama huyu atakuja kukupa wewe update ya vita wewe unayeshi hapo Gongo la mboto???Sawa ukishakua shabiki wa Vita huwezi elewa kinachosemwa
Just imagine how silly you sounded in your attempt to convince yourself that you habour intelligent brain cells.
Ideot
kang'welage Noko.Ukiandika kiswahili hutafahamika? 😂
Kweli.BBC NA CNN NI U.T.I iliyokomaa kwa Propaganda...
Hali ngumu wajameniKama atatupa buka saba saba watanzanua tuko tayar kuingia barabaran