Hiyo imeshabuma, wanunuzi wamemwambia Russia asome mkataba unasema malipo yatafanyika kwa dola au Euro na si vinginevyo.😛😛An gesi inauzwa kwa rubble kazi mnayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo imeshabuma, wanunuzi wamemwambia Russia asome mkataba unasema malipo yatafanyika kwa dola au Euro na si vinginevyo.😛😛An gesi inauzwa kwa rubble kazi mnayo.
Hahah so unataka urussi iwa tangazie warussi kwamba wanakufa?Kuiamini BBC ni ngumu Sana sababu ya propaganda znazoegemea nchi za Magharibi na NATO
Yaani jamaa hwa weki hata bulletproof window kwenye magar gari ya wanajeshi wao?Hata hii nayo ni propagandaView attachment 2162967
Kwa anatoa kafala kwanza?izo mpya vifaa vingi vina nunuliwa nje vitakuwa na limit.Nasikia Urusi inatumia zana nyingi za kivita za enzi za USSR sijui kwa nini wameamua hivyo ama wanataka NATO waingie kichwa kichwa halafu ndio waamshe zana zenyewe
Sasa askali zaidi ya elfu kumi ndani ya mwezi Mmoja kaka ni wachache?Kwahiyo mkuu ulitaka urusi isipoteze hata silaha yake moja.Hiyo ukraine sio dhaifu kivita kama mnavyoaminishwa na propaganda za western ili tuwaonee huruma.Ukraine wa jeshi imara na wananchi wana mshikamano kwahiyo sio vita ndogo hiyo.
Ishu iko ivi wao wanabase upande mmoja wakat kuna effect pande mbiliHahah so unataka urussi iwa tangazie warussi kwamba wanakufa?
Si alisema atakaye ingilia atakuwa ametangaza vita kwambq yeye hajui?Kama upo JF na huwezi kuona kuwa Ukraine anaungwa mkono na NATO + USA,utakuwa ni mtu wa kushangaza sana? Wenzio Pro Russia wanali lia hapa kuwa Putin anapigana na Ukraine na NATO kwa wakati mmoja,halafu wewe hulioni hilo.
Haina ukweli Wala hujui chanzo na source ya hiyo picha usilishwe matango poriYaani jamaa hwa weki hata bulletproof window kwenye magar gari ya wanajeshi wao?
Kama ni wa Russia safi sana .Embu endelea kutuma picha mkuu .Ili waaminiHata hii nayo ni propagandaView attachment 2162967
Natamani wangechoma moto na hilo gari kabisaHata hii nayo ni propagandaView attachment 2162967
Mi nawa aminiIshu iko ivi wao wanabase upande mmoja wakat kuna effect pande mbili
YaliyomoHata hii nayo ni propagandaView attachment 2162967
Sio picha hiyo tu mkuu Russia inahitaji kujitafakali tenaHaina ukweli Wala hujui chanzo na source ya hiyo picha usilishwe matango pori
Maana hamna namna nyingine, mtapigwa tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nasema Wapigwe Tu, Na Watapigwa Tu Hakuna Namna HasA Ukijiona Imara Sana
Asante mkuu kwa picha ubarikiwe .huyu Putin ni mdhenge sana .Svetlana NikolaevnaSio picha hiyo tu mkuu Russia inahitaji kujitafakali tenaView attachment 2164302