Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
RT tia maji maji ,uko ndo wamejaa spy na wahuniWao kwao RT ndiyo kila kitu,kwamba RT ndiyo msema kweli,hana propaganda wala haegemei upande wowote😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RT tia maji maji ,uko ndo wamejaa spy na wahuniWao kwao RT ndiyo kila kitu,kwamba RT ndiyo msema kweli,hana propaganda wala haegemei upande wowote😀
Afadhari hapa umekuwa mkweliRT tia maji maji ,uko ndo wamejaa spy na wahuni
😂😂😂😂😂😂Tukiwa kijiweni tuna majina mengi Mkuu,mzee,mwenyekiti,Muhuni,muheshimiwa ,kitengo,Baharia,mkongwe nk
Komba jikePutin ni jiwe aliehai
Anzisha chombo chako utupe habar za Ukraine kutuKuiamini BBC ni ngumu Sana sababu ya propaganda znazoegemea nchi za Magharibi na NATO
Mpaka leo bado tu hamjashinda hiyo vita?Mambo ya kawaida tu kwenye vita hakuna Cha ajabu mwenajeshi wa urusi kufia vitani au kifaa Cha kijeshi kushambuliwa lakini tunachotaka kujua mwisho wa hyo vita Nani atashinda
Kumiliki vikundi kama itarahamwe a.k.a wasiojulikana,chuki ya waziwazi juu ya upinzani na viongozi wake wakati upo kikatiba,Ukabila,yeye ndiye founder wa SukumaGang,visasi,n.kSawa sawa naona Yuda wako wengi Sana Tz ,matendo Kama yapi kwa mfano!?
Tatizo na nyie wamarekani wa hapo burigi mnazidisha chumvi sanaAlaf ukiwaambia leteni habari za kwel bas wanaingia mitini, wakubali tu kwamba kuna kipindi mambo hushindikana
Kwanini na nyie msipeleke hizo propaganda?Kuiamini BBC ni ngumu Sana sababu ya propaganda znazoegemea nchi za Magharibi na NATO
Ukraine alikua na vifaru 78 tu wakati vita inaanza ila hadi jana kateka vifaru 117 vya mvamiziUkraine inaandika kwa kupewa silaha za kivita na USA na EU pamoja na askari wa msaada wa mapambano badala ya kutumia silaha zake halisi, hivi kweli ni akili zako binafsi au dishi lako limeyumba [emoji848][emoji23]
Zelensky anataka dunia indamane.. Wapigane tu wenyewe
Usitake watu waanze kuyasema mauchafu yake.Kupanga ni kuchagua wew Kam umeamua kuwaamini BBC sawa Ila kumbuka tu Marehemu Dr Jpm alichafuliwa kila siku na hawa wahni
Kama upo JF na huwezi kuona kuwa Ukraine anaungwa mkono na NATO + USA,utakuwa ni mtu wa kushangaza sana? Wenzio Pro Russia wanali lia hapa kuwa Putin anapigana na Ukraine na NATO kwa wakati mmoja,halafu wewe hulioni hilo.Amelikoroga alinywe mwenyewe mjinga huyu alidhani Magharabi na USA wangemuumnga mkono
Wew nae umekuja kuongeza kvant kwenye motoKama upo JF na huwezi kuona kuwa Ukraine anaungwa mkono na NATO + USA,utakuwa ni mtu wa kushangaza sana? Wenzio Pro Russia wanali lia hapa kuwa Putin anapigana na Ukraine na NATO kwa wakati mmoja,halafu wewe hulioni hilo.
hahahaaaaWashabiki wa Putin , Watakuambia ni propaganda [emoji4]...yaani ukiwa shabiki wa urusi automatically unajitahidi kuukimbia ukweli
cha ajabu hawaiamini tbcWao kwao RT ndiyo kila kitu,kwamba RT ndiyo msema kweli,hana propaganda wala haegemei upande wowote[emoji3]
hahahaaaaaTatizo na nyie wamarekani wa hapo burigi mnazidisha chumvi sana
ulitaka babu abake mjukuu anaangaliwa tu ?Kama upo JF na huwezi kuona kuwa Ukraine anaungwa mkono na NATO + USA,utakuwa ni mtu wa kushangaza sana? Wenzio Pro Russia wanali lia hapa kuwa Putin anapigana na Ukraine na NATO kwa wakati mmoja,halafu wewe hulioni hilo.
Na wale majenerali 5 kufa vitani pia ni kawaida kenge?Mambo ya kawaida tu kwenye vita hakuna Cha ajabu mwenajeshi wa urusi kufia vitani au kifaa Cha kijeshi kushambuliwa lakini tunachotaka kujua mwisho wa hyo vita Nani atashinda
Watu mnachekesha sana, si mlisema kwamba Russia hana mpinzani kivita hapa duniani sasa hizo lawama za Nato kuingilia vita zinatoka wapi?Kama upo JF na huwezi kuona kuwa Ukraine anaungwa mkono na NATO + USA,utakuwa ni mtu wa kushangaza sana? Wenzio Pro Russia wanali lia hapa kuwa Putin anapigana na Ukraine na NATO kwa wakati mmoja,halafu wewe hulioni hilo.