samakiurembo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 445
- 689
Kama atatupa buka saba saba watanzanua tuko tayar kuingia barabaranZelensky anataka dunia indamane.. Wapigane tu wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama atatupa buka saba saba watanzanua tuko tayar kuingia barabaranZelensky anataka dunia indamane.. Wapigane tu wenyewe
Sawa sawa naona Yuda wako wengi Sana Tz ,matendo Kama yapi kwa mfano!?JIwe hajachafuliwa na mtu Bali alijichafua mwenyewe Kwa matendo yake🤔
hahahaaaaJifanye Kama Unajikuna
hahaaaKwa maana iyo tuamini TBC au STAR TV?
hahahaaaasiku hizi mtu hakiwa hana hoja ama kaona habari isiyompendeza anasema ni propaganda.
nb:, JPM ALICHAFULIWA VIPI NA BBC?
Huu ni ukweli.Kuiamini BBC ni ngumu Sana sababu ya propaganda znazoegemea nchi za Magharibi na NATO
Washabiki wa Putin , Watakuambia ni propaganda 😊...yaani ukiwa shabiki wa urusi automatically unajitahidi kuukimbia ukweliTunaojua tulisema toka mwanzo kwamba piga ua Russia hatakaa ashinde hivi vita na mwisho wa hivi vita Russia itakuwa imeporomoka kiuchumi hadi kuwa sawa na nchi ya dunia ya tatu.
Kosa kubwa alilofanya Putin na wapambe wake ni kufikiria kwamba nchi za magharibi zingemwangalia tu na kumlaani kwa maneno baada ya kuivamia Ukraine kama walivyofanya pale alipoitwaa Crimea.
Safari hii nchi za magharibi zimepata sababu ya kuimaliza kabisa dola ya Russia na tutarajie kuona Russia mpya kabisa ikizaliwa.
Mkuu wewe ni Mzee wa kisasa unajua hadi FOA,ndiyo maana wanakustukia na kukuita Mzee wa mchongo.😂Unaona Sasa narudia tumevamiw na watot wa FOA hawajui A to Z ni hasara kwa kweli
Bbc, cnn, dw.Umesikia kutoka wapi?
Kama pana kitu kinanichekesha kwa Pro Putin ni jinsi wanavyolitumia hilo neno Propaganda, cha ajabu sasa,hao hao BBC or CNN wakitoa habari wanayoipenda unawaona wanaongozana kama nzige kutupostia humuWashabiki wa Putin , Watakuambia ni propaganda 😊...yaani ukiwa shabiki wa urusi automatically unajitahidi kuukimbia ukweli
Kama Russia imepoteza elf 10 basi ukraine itakua imepoteza elfu 30.Putin anazidi kuaibika! Mpaka sasa ameshapoteza askari zaidi ya askari elfu 10 ikiwemo majenerali zaidi ya watano.
Kweli mdharau mwiba mguu huota tende
An gesi inauzwa kwa rubble kazi mnayo.Tunaojua tulisema toka mwanzo kwamba piga ua Russia hatakaa ashinde hivi vita na mwisho wa hivi vita Russia itakuwa imeporomoka kiuchumi hadi kuwa sawa na nchi ya dunia ya tatu.
Kosa kubwa alilofanya Putin na wapambe wake ni kufikiria kwamba nchi za magharibi zingemwangalia tu na kumlaani kwa maneno baada ya kuivamia Ukraine kama walivyofanya pale alipoitwaa Crimea.
Safari hii nchi za magharibi zimepata sababu ya kuimaliza kabisa dola ya Russia na tutarajie kuona Russia mpya kabisa ikizaliwa.
😂😂😂Vijana wa Sasa ni wa mchongo , issue ni utandawazi na connectionMkuu wewe ni Mzee wa kisasa unajua hadi FOA,ndiyo maana wanakustukia na kukuita Mzee wa mchongo.😂
Kwani wewe upo First World Countries ? Wanaombwa walioko Dunia ya kwanza siyo sisi huku,so relax 😀Kama atatupa buka saba saba watanzanua tuko tayar kuingia barabaran
Anguko la kwanza la Russia lilikuwa 1990,hili litakuwa la pili na la mwisho,baada ya hapa watoto wetu watakuja kusoma tu historia kama vile sisi tulivyosoma Historia ya iliyokuwa USSRTunaojua tulisema toka mwanzo kwamba piga ua Russia hatakaa ashinde hivi vita na mwisho wa hivi vita Russia itakuwa imeporomoka kiuchumi hadi kuwa sawa na nchi ya dunia ya tatu.
Kosa kubwa alilofanya Putin na wapambe wake ni kufikiria kwamba nchi za magharibi zingemwangalia tu na kumlaani kwa maneno baada ya kuivamia Ukraine kama walivyofanya pale alipoitwaa Crimea.
Safari hii nchi za magharibi zimepata sababu ya kuimaliza kabisa dola ya Russia na tutarajie kuona Russia mpya kabisa ikizaliwa.
Washabiki wa Putin , Watakuambia ni propaganda [emoji4]...yaani ukiwa shabiki wa urusi automatically unajitahidi kuukimbia ukweli
Ohoo unaona sasa unajua hadi "connection' (jokes)😂😂😂😂Vijana wa Sasa ni wa mchongo , issue ni utandawazi na connection
Wao kwao RT ndiyo kila kitu,kwamba RT ndiyo msema kweli,hana propaganda wala haegemei upande wowote😀Alaf ukiwaambia leteni habari za kwel bas wanaingia mitini, wakubali tu kwamba kuna kipindi mambo hushindikana
Tukiwa kijiweni tuna majina mengi Mkuu,mzee,mwenyekiti,Muhuni,muheshimiwa ,kitengo,Baharia,mkongwe nkOhoo unaona sasa unajua hadi "connection' (jokes)😂