BBC: Misinformation on corona virus has spread in Africa

BBC: Misinformation on corona virus has spread in Africa

Kuna tofauti Kati ya kilichoandikwa kwenye reference yako na alichosema Magufuli.

Nukuu yako inazungumzia mvuke wa maji wakati Magufuli anazungumzia mvuke wa madawa(miti, majani, mizizi au madini yaliyochemshwa au kuchomwa)
The issue here is inhalation of a hot steam whether is steam of water or herbs but is called a steam.
 
Kuna tofauti Kati ya kilichoandikwa kwenye reference yako na alichosema Magufuli.

Nukuu yako inazungumzia mvuke wa maji wakati Magufuli anazungumzia mvuke wa madawa(miti, majani, mizizi au madini yaliyochemshwa au kuchomwa)
Bi dada kaleta nukuu potofu Sasa amekusudia nini
 
Lazima tufuate Raisi wetu yeye ni utaalamu wa chemia kabobea katika hilo na phd, pia anahusiano mkubwa na Mungu uenda kafunuliwa ba Mungu, hao BBC ni waongo sana

Huyo mungu wake (anaemtegemesa akampe ukuu wa malaika) hawezi kuwa kuwa Jehovah Jireh.
 
Coronavirus: What misinformation has spread in Africa?


African countries are experiencing a rise in the number of new coronavirus cases, and many governments have been enforcing strict social distancing measures.

As they prepare for a surge in cases, misleading information has been spreading throughout the continent.

1. Inhaling very hot steam is dangerous
The false claim that inhaling steam is an effective treatment against coronavirus has surfaced once again, this time in Tanzania with an endorsement by its president.


As part of an appeal to put more emphasis on traditional cures, President John Magufuli has said inhaling steam kills off viruses in the nose and the mouth.

Mr Magufuli suggested that high temperatures would work against the virus during remarks about the best strategy to tackle the coronavirus crisis.

But although high temperature steam treatment is used for industrial cleaning in places such as hospitals, inhaling it at these temperatures would be extremely dangerous to the human body, according to Keith Neal, a specialist in the spread of infectious diseases at the University of Nottingham in the UK.

He points out that if steam that hot got inside your body in attempt to kill the virus, your lungs would also be irreparably damaged.

Also, water vapour rising from a boiling pan would be quickly cooled as it enters the body and not be hot enough to have an effect against the virus.

The World Health Organization (WHO) has warned against taking very hot baths to stop the virus, saying this could burn you.

2.Chinese-owned businesses in Nigeria were not attacked
As reports about Africans facing discrimination in China have emerged , some people have started spreading fake videos, claiming they show people retaliating against the Chinese community in Africa.

A case in point is a video said to show a Chinese-owned business on fire in Nigeria.


The images actually show shops on fire at a popular market area in Ibadan in south-west Nigeria this month.

The Punch newspaper in Nigeria reported on the fire and refers to Nigerian traders with no mention of Chinese businesses .

The video which has been viewed more than a million times was later pulled by Twitter because they said "it violated Twitter rules".

3. Consuming alcohol does not protect against Covid-19
The governor of Kenya's capital, Nairobi, has been criticised for misleading remarks about alcohol and the coronavirus.

Governor Mike Sonko was explaining why he is including bottles of Hennessy cognac in food supplies for vulnerable people in the city, saying it would serve as a "throat sanitiser".

"From the research which has been conducted by World Health Organization (WHO) and various health organisations it has been revealed that alcohol plays a very major role in killing the coronavirus, or any sort of virus," he said.


He appears to have misinterpreted WHO health advice. It says drinking alcohol does not protect you against the coronavirus, but it does refer to the efficacy of alcohol-based gel to clean your hands.

The WHO advice adds that alcohol consumption "is likely to increase the health risks if a person becomes infected with the virus".

Hennessy, the manufacturers of Hennessy cognac, have also cautioned Kenyans against consuming alcohol with the belief that it will offer protection.

4. Blue facemasks are not contaminated
Two posts on Facebook, which have been urging Africans not to wear blue face masks amid claims they are contaminated with toxins, have been widely shared.


The first post claims to be quoting Amazon founder Jeff Bezos and a supposed scheme to distribute contaminated masks.

"Dear Africans, avoid wearing the blue masks that are made in America and Europe because these masks contain suicidal toxic [sic]" the post reads. It doesn't explain what toxins they are supposed to contain.

Amazon says the quotes have been fabricated.

A post on another page - this time falsely quoting the head of the World Health Organization - also urges people not to wear blue masks.

Mary Stephen, from the WHO regional office for Africa, told the BBC the organisation hasn't received any reports of contaminated masks.

"Countries are sourcing their masks from different sources, and we are not aware of any contamination," she says.
Trump asema kwa kuwa sanitizer na disinfectant zinatumika kuua virus basi wagonjwa wa corona wachomwe sindano za sanitizer ili kuua virusi vya korona.

TRUMP SUGGEST OF INJECTING DISINFECTANT TO BEAT VIRUS.

752FD17A-49AF-4A39-A4EB-BC32BFBA5908.jpeg



TRUMP AND DISINFECTANT AS A CURE FOR VIRUS/ HE EVEN SUGGESTED UV LIGHTS TO BE INJECTED INTO THE BODY.

C64B2A09-14B7-4AEE-B1FA-81559E3E2D20.jpeg
 
Hao mabeberu tumewashika pabaya!!! wenyewe akili yao wanadhani kwa ujinga wao tunatumia mvuke wa maji ya kawaida na kwamba eti joto la mvuke pekee ndio litaua virus. Kujifukiza maana yake ni kuchemsha dawa na mvuke utasaidia kupeleka dawa hiyo kwenda kuya fekelea mbali hayo ma hayawani waliyoyatengenezea laboratory
 
Na Trump aliyeshuhudia Wamarekani waanikwe juani au wapigwe UV light anatofauti gani na kufukizia?

Waambie si mara ya kwanza kufukizia tuna uzoefu.Waambie ngozi na koo ya black imejaliwa si nyoronyoro.
 
Mbna kwao yamewashinda kazi kuzungumzia ya wafrika.
MAGUFULI WANYOOSHE KIFO KIPO TU ILA SIO KUFATA MAAGIZO YAO
 
Nilipoona hiyo “As they prepare for a surge in cases..” nikabaki nacheka tu, yaana wamekaa wanaminya makende wakisubiri kwa shauku kubwa kuona number of case ls zikionhezeka kwa kasi? Hahahahah...!!!!
 
Jiwe ni wa kumpuuza tu,huku kitaa watu wanasikiliza wataalam walishaachana na habari za jiwe kapuuzwa.
Acha uongo watu wanajifukizia ile mbaya hata wazungu. Kujifukizia hakujaanza leo upo miaka mingi dada ila nyinyi watoto wa kizungu hamjui. Mafua hupona kwa kufukuziwa mvuke miaka yote. Waulizeni na SAUNA wanaijua hao wanaopinga??
 
Back
Top Bottom