BBC na Media za Magharibi wamekataa kuwaita watoto wa Kipalestina, watoto.

BBC na Media za Magharibi wamekataa kuwaita watoto wa Kipalestina, watoto.

Weka propaganda za Zionists pembeni halafu tujadili Facts

Israel haina haki ya kujitetea wala kujirinda dhidi ya Palestine kama ambavyo Makabulu hawakua na haki ya kujitetea au kujirinda dhidi ya South Africa

Kulazimisha kuwa Israel inahaki ya kujitetea na kujirinda ni sawa na kusema Jambazi pia anahaki ya kujirinda pale anapokuvamia kwenye nyumba yako

Nyie Pro Israel wa kibongo mna vitu viwili vya pamoja

1. Hamjui historia ya Palestine na jinsi gani Israel ilivyoundwa kimabavu ndani ya Palestine kwa baraka ya Muingereza na Marekani. Na jinsi gani hao Ashkenazi jews walikuja Palestine kama wakimbizi kutoka Ulaya mashariki....hao wakimbizi ndio hao wa Israel unaowatetea sasa hivi

Ilikua aidha Uganda, Argentina au Palestine, wakachagua Palestine

So Palestine ilivamiwa hapa, kabla ya kuundwa kwa Israel na ujio wa hawa Ashkenazi jews, 80% ya Palestine ilikua ni wapalestina (hizi ni basic facts unazoweza Google)

So Israel kwa sababu yoyote ile haina haki yoyote ile Palestine, ni settler colonial state kama Makabulu wa South Africa

2. Pia mnachanganya Political Zionism na Judaism
Waasisi wa Political Zionism, itikadi ya kisiasa iliyokuja kuunda Israel hawana mahusiano yoyote na dini sio tu uyahudi hata huo ukristo wako unao uleta hapa

Muasisi wa Political Zionism ni Atheist, Google atheism ujue maana yake...hawa hawaamini Mungu

So kama unahisi huu ni mgogoro wa kidini kati ya ukristo na uislamu, basi wewe hujui chochote

Wapelestina wapo pale maelfu ya miaka, tuna clips za Ashkenazi Jews wakiwa wanawasili Palestine kama wakimbizi

We tupe clip za Wapelestina wakiwa wanahamia Palestine?


oya,una haki ya kumkoti yoyote ila si sahihi ya kumukoti kila mtu ili ujiumbue wewe ni mtu wa namna gani.
full trash.
 
Unaelewa tofauti ya Mfungwa na Mateka?
Maarifa ni muhimu sana ndiyo maana Lowassa alisema kipaumbele chake cha 1 elimu cha 2 elimu cha 3 elimu cha 4 elimu. Kuna mtu kwenye huu uzi shida yake ni maarifa tu hana 😱 😁😆🤣angekuwa na maarifa wala povu lisingemtoka.
 
🇮🇷 Waziri wa Ulinzi wa Iran:

Nawashauri Wamarekani na wale wanaoshirikiana nao kuondoka katika eneo hili kwa sababu bila shaka watalipa gharama ya kuunga mkono jinai za kundi la Kizayuni.

(Kumbuka: Hii ilitoka kwa waziri wa ulinzi, sio waziri wa mambo ya nje)
 
Tazama huyo wanaedai ni mpiganaji wa Hamas. Walimkamata. Kumbe ni askari wa kiyahudi aliepangwa . Wayahudi wameadhirika sana safari hii na bahati nzuri au mbaya wamewashikia akili watu wengi wajinga.
 

Attachments

  • 04fb3a31-c8df-4223-95ab-8bc527df5bd4.mp4
    4.3 MB
Sio lazima bbc unaweza kutazamana Al-Jazeera tv ya hovyo inayounga mkono terrorism
 
Yaleyale ya Russia na ukraine, Russia anadai hii siyo vita bali operation maalum ya kijeshi!
Ninaweza, hayo Sio yale yale

kulinganisha mzozo baina ya Israel na palestine na hali ya Urusi na Yukrain sio sahihi.



hatahivyo, kikuu hapa ni jinsi chombo cha habari kama BBC kinavyo chochea kuwashusha au kuwapunguzia uzito wa mateso watoto wa kipalestina. In other words, they're dehumanizing.the Palestinians.

Hiyo ni propaganda.

Hoja ni BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina watoto na kuwaita watu wa kipalestina mateka. Kwa lugha nyingine, uwasilishaji wao wa taarifa ya habari unaegemea au kuegemea upande mmoja. wapo biased?
Pitia hapa Propaganda and War.
 
Hao wanaua mpaka raia wao wenyewe sembuse wapalestina

Wahanga wa ki Israel wa hio Oct 7 wamekiri kuwa wenzao waliuliwa na wanajeshi wa IDF kutengeneza "sababu" ya kuivamia Gaza

Ni false flag operation kama 9/11 ndio maana wanairudia rudia hio Oct 7 kwenye Media zao

Israel ndo waasisi wa Ugaidi kama tunavyoujua..... historia ipo wazi...
Mtu yoyote anaye support Israel hajui historia

Na kuna mijinga kibao humu JF inayoamini Israel ni taifa la Mungu
Kuna hadi viongozi wa dini huwaambii kitu wapo tiari kuchangisha sandaka za waumini ili wampelekee letanyau ni aibu kww kweli

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
.
Paroko asiyekuwa na chembe ya huruma na binadamu mwenziwe haiyumkiniki atakuwa ni wa Ile dini nyingine ambako sadaka ni pamoja na nyama na damu za watu.

Wacha udini, wewe dini yako kazi kuchinja watu....
 
Back
Top Bottom