BBC News: Tanzania MP Zitto Kabwe gets death threats over World Bank loan

BBC News: Tanzania MP Zitto Kabwe gets death threats over World Bank loan

Umeanza twisting tena; swali ni kua Wabunge wa ccm hawakusema kua Mh Zito auwawe? na Mh Spika hakusema kua Zito katenda kama Mh Trump kama alivyoshirikiana na nchi za nje kukiujumu Marekani?

Kwani Zito asipokua mwanasiasa ndo sifa ya kutoa maoni kama mTanzania inapotea?
Msemehe hajaelewa kizungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu nimeona mahalai eti wameandika kuwa Tanzania ni imeingia kwenye idadi ya nchi ambazo ni hatari kuishi [emoji87][emoji87]

Hii taarifa ni kweli au siyo?!

Ikiwa ni kweli mbona itaweza kuathiri biashara ya utalii pamoja na uwekezaji wa wageni?!

Mwenye kujua atuelezee vizuri aanzishe uzi wake!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu nimeona mahalai eti wameandika kuwa Tanzania ni imeingia kwenye idadi ya nchi ambazo ni hatari kuishi [emoji87][emoji87]

Hii taarifa ni kweli au siyo?!

Ikiwa ni kweli mbona itaweza kuathiri biashara ya utalii pamoja na uwekezaji wa wageni?!

Mwenye kujua atuelezee vizuri aanzishe uzi wake!


Sent using Jamii Forums mobile app


Eti taarifa kutoka Serikali ya Ufaransa?!

Natamani isiwe kweli maana athari zake zaweza kubwa kiuchumi !


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku bado barua ya moto mabunge ya ccm yameropoka ujinga hasa bulembo sijui yanatutakia nini hayo


Sent from my iPhone using JamiiForums
trump tu yeye anashutumiwa kwa kuongelea uchumi wa nchi yake na mataifa mengine ndio maana anatakiwa avuliwe uraisi iweje sisi mtu anafunga safari kwenda matifa hayo
 
CCM wanatakiwa kutambua kuwa sasa hivi kila simu inayo Camera,dunia imekuwa kijiji,ukijadili uovu ukiwa popote Dunia nzima itajua ,video za zile hate speech za Bungeni sasa hivi zipo mikononi mwa vyombo vya habari vya kimataifa,wafadhili wote wa Tanzania wapata kila kinachojadiliwa Bungeni na kwenye vikao vya CCM ,sasa huu ujinga utatuumiza kama nchi kwa sababu ya watu wachache wenye roho za kichawi wanaowaza kuwauwa wenzao.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata wasipewe huo mkopo, hizo hela zitaishia kuchezewa kwenye mambo ya kipumbavu tu.
 
Hakuna Muzungu anaangalia news kwa Kiswahili, hiyo ni BS.
 
Back
Top Bottom