BBC News: Tanzania MP Zitto Kabwe gets death threats over World Bank loan

BBC News: Tanzania MP Zitto Kabwe gets death threats over World Bank loan

Halafu linakuja jitu limeota nywele kila eneo, linakwambia "wanaichafua Nchi".

Acha watu waujulishe ulimwengu kuwa Tanzania inaongozwa na machifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
saafi sana CCM wanazidi kumwaga petrol kwenye moto.

Mabeberu twende kazi sasa.
 
Hahaha kwa ccm hii kwao ndiyo international publicity, wanaona wamekuwa wakimataifa.
Wanasemaga ni UPEPO tu nao utapita in Pinda's voice.
 
Zitto ameshauriwa vibaya na Maalim Seif. Na sasa Maalim Seif kafanikiwa adhama yake ya kuichukua ACT mazima. Zitto is no longer a credible politician to run politics and command political agenda in country as he has been used to!
Mnajadili kumuua mbunge ndani ya bunge hii ni aibu kiwango cha lami

Tena mnashangilia kuuwa mbunge mwenzenu???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee Juma Haji Duni amshangaa spika wa Bunge la Tanzania kutokaripia kauli ya mbunge wa CCM . Msimamo wa chama cha ACT-Wazalendo watolewa juu ya Spika Ndugai na mwenendo wa wabunge wa CCM ktk kikao cha Bunge kinachoendelea mjini Dodoma, Tanzania



Source: TV Wazalendo
 
Tanzania imekosa watu wa kuendesha diplomasia. Kila uchwao ni migongano na wahisani.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Sio imekosa.

Wenye uwezo wanaondolewa, wanawekwa ideologues waimba sifa.

Pale Mambo ya Nje palikuwa si pa kumuondoa Dr. Mahiga kwa mfano. Dr. Mahiga alikuwa anajua sana kuwatuliza watu wa nje.

Huyu Dr. Kabudi mtu wa kuita watu "mabeberu" diplomasia haijui, na ataharibu sana mahusiano ya kumataifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
February 4, 2020
Kigoma, Tanzania

Wazee wa CCM watoa tamko

Wazee wa CCM Kigoma washindwa kuongea maana ukweli hauwezi kujificha wapata kigugumizi ktk press conference. Washindwa kuamini kama wabunge wa CCM wametoa kauli ya kuutoa uhai wa mtanzania bungeni

 
Sio imekosa.

Wenye uwezo wanaondolewa, wanawekwa ideologues waimba sifa.

Pale Mambo ya Nje palikuwa si pa kumuondoa Dr. Mahiga kwa mfano. Dr. Mahiga alikuwa anajua sana kuwatuliza watu wa nje.

Huyu Dr. Kabudi mtu wa kuita watu "mabeberu" diplomasia haijui, na ataharibu sana mahusiano ya kumataifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaza hapa on how the president will calm the situation. Will he remove Kabudi? Return Mahiga ? Re appoint Migiro or will observe until post general election?

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Kwa maneno machache speaker wa bunge amemwita Rais wa Marekani, Donald Trump Muhaini. Speaker ameamua kumbeep Trump nategemea atatumiwa japo text msg.
 
Halafu yanatamkwa bungeni na wabunge!
Very sad kwa chombo ambacho kinatarajiwa kuwa mstari wa mbele kulinda katiba ya nchi. Ambayo impa kila raia wa nchi hii haki ya kuishi. Akifanya makosa anatakiwa apelekwe mahakamani na mahakama impatie kile anachostahili kulingana na kosa lake. Ndiyo maana kuna makosa hata ya uhaini.
 
Back
Top Bottom