Nani kasema tufungie ?
Ana jicho nzuri wewe muangalie hapo ulipoHaha Mbuzi angekua na sura nzuri ule msemo wa mwanamke shepu sura hata mbuzi anayo usingekuwepo.
Jicho tu! Mbona hata lako zuriAna jicho nzuri wewe muangalie hapo ulipo
Kwani ulikuwa hujui kuwa vitu vyenye sura mbya ulimwenguni kuwa ndio vitamuMnyama ana sura mbaya wanaokula nyama yake wana ujasiri
Teh teh tehJicho tu! Mbona hata lako zuri
Na wewe hauna tofauti na hao, sasa umeleta hapa habari, haijitoshelezi, mfano wapi wamedanganya /wamekosea na hio ni heading tu, bila kuleta contents ni vigumu kuona hio statement imekosewa vipi/wapiView attachment 1681121
Kuna tatizo Sehemu? ama kuna kitu kinatafutwa kwa makusudi?
Kwa chombo cha habari chenye nguvu kubwa Kama hiki kutangaza habari namna hii kinaleta madhara makubwa sana kwa jamii na kuharibu kabisa taswira na biashara husika ambayo nina hakika Kuna watu wamewekeza kwayo.
Hii itatufanya hata taarifa nyingine wanazo toa tusiziamini tukachukulia Kama ni propaganda tu.
Hii habari ina ukweli? Au propaganda tu?
View attachment 1681121
Kuna tatizo Sehemu? ama kuna kitu kinatafutwa kwa makusudi?
Kwa chombo cha habari chenye nguvu kubwa Kama hiki kutangaza habari namna hii kinaleta madhara makubwa sana kwa jamii na kuharibu kabisa taswira na biashara husika ambayo nina hakika Kuna watu wamewekeza kwayo.
Hii itatufanya hata taarifa nyingine wanazo toa tusiziamini tukachukulia Kama ni propaganda tu.
Amesema wanyama hajasema animals...Impala
Rabit
Zebra
Gazelle
Ni ngumu Sana kuficha jambo unalolipenda kwa dhati.View attachment 1681221
Ni huko Kahama,siyo Tanzania nzima
Mbona habari ya BBC Swshili 18 01 2021 imetaja Shinyanga Kahama! Na kunukuu kuwa mpaka sasa hakuna aliyedhurika na ulaji .....View attachment 1681121
Kuna tatizo Sehemu? ama kuna kitu kinatafutwa kwa makusudi?
Kwa chombo cha habari chenye nguvu kubwa Kama hiki kutangaza habari namna hii kinaleta madhara makubwa sana kwa jamii na kuharibu kabisa taswira na biashara husika ambayo nina hakika Kuna watu wamewekeza kwayo.
Hii itatufanya hata taarifa nyingine wanazo toa tusiziamini tukachukulia Kama ni propaganda tu.