BBC Swahili wadai umbali kati ya dunia na jua ni Kilomita 150

BBC Swahili wadai umbali kati ya dunia na jua ni Kilomita 150

Ni wazi huna kazi za kufanya sasa kama umeshagundua wamekosea siungerekebisha tu akilini mwako ukaachana nalo hadi ulete hunu?

Tuna mambo mengi ya kujadili,ovyooo!!
Kwani kakufunga mnyororo? Hujasikia: Kila mbuzi ale sawasawa na urefu wa kamba yake?
 
Bibi-sea mnawaonea bure wale watangazaji! Kutokana na ubobezi wao kwenye tasnia ya habari na mawasiliano, unaweza usitambue baadhi ya maneno because wanaongea lugha professional.

So, maneno mengine, nguli kama hawa huyameza ili kusave muda, kutumia energy kidogo na kuleta mvuto kwenye uwasilishaji wa matangazo yao.

Kwa hiyo, hilo ni jambo la kawaida sana, na ni shock inayotegemewa kwa wasikilizaji wao ambao ni amateurs wasio na experience ya kutosha, kama huyu mleta-mada!
Hunijii upeo wangu. Lakini umeguswa na mada, kama ni sindano imekuingia. Pole sana, kwakuwa wala hujui uzito wa kazi ya utangazaji kama huyu asiyekuwa makini lakini anatetewa na baadhi ya wenzake katika fani yao!
 
Ni wazi huna kazi za kufanya sasa kama umeshagundua wamekosea siungerekebisha tu akilini mwako ukaachana nalo hadi ulete hunu?

Tuna mambo mengi ya kujadili,ovyooo!!
Hata wewe si ungeufyata tu badala ya kujifanya umepotezewa muda!
 
Walitaja na nauli ya kwenda huko ni shilingi ngapi? 😁
 
Assalamualaikum WanaJf.

Siamini kama nilichosikia leo tarehe 01/24/2022 asubuhi ktk 'BBC Swahili' kupitia RFA ilikuwa kweli au nilikuwa kwenye ndoto.

Mtangazaji aitwae R. Oditi amesema umbali kati ya dunia na jua ni kilometers mia na hamsini (150).

Na mbaya zaidi alirudia kusema hivyo mara kadhaa! Na mpaka mwisho wa kipindi chake hewani hakusahihisha usemi wake.

Hivi BBC nayo imeshakuwa radio mbao?
150 million kilometers
 
Assalamualaikum WanaJf.

Siamini kama nilichosikia leo tarehe 01/24/2022 asubuhi ktk 'BBC Swahili' kupitia RFA ilikuwa kweli au nilikuwa kwenye ndoto.

Mtangazaji aitwae R. Oditi amesema umbali kati ya dunia na jua ni kilometers mia na hamsini (150).

Na mbaya zaidi alirudia kusema hivyo mara kadhaa! Na mpaka mwisho wa kipindi chake hewani hakusahihisha usemi wake.

Hivi BBC nayo imeshakuwa radio mbao?
 
Assalamualaikum WanaJf.

Siamini kama nilichosikia leo tarehe 01/24/2022 asubuhi ktk 'BBC Swahili' kupitia RFA ilikuwa kweli au nilikuwa kwenye ndoto.

Mtangazaji aitwae R. Oditi amesema umbali kati ya dunia na jua ni kilometers mia na hamsini (150).

Na mbaya zaidi alirudia kusema hivyo mara kadhaa! Na mpaka mwisho wa kipindi chake hewani hakusahihisha usemi wake.

Hivi BBC nayo imeshakuwa radio mbao?
Wamekua waongo kama serikali ya ccm.
 
Hunijii upeo wangu. Lakini umeguswa na mada, kama ni sindano imekuingia. Pole sana, kwakuwa wala hujui uzito wa kazi ya utangazaji kama huyu asiyekuwa makini lakini anatetewa na baadhi ya wenzake katika fani yao!
Upeo wako uko wazi kama mchana; angalia ulichoandika unaguyuguza tu!
 
Piga picha we upo Dar alafu jua lipo morogoro
 
Jamani,

wajapokuwa watangazaji wa BBC wale ni binadamu, sio malaika. Hiyo sio mwanzo na haitakuwa mwisho wa kukosea.
 
Assalamualaikum WanaJf.

Siamini kama nilichosikia leo tarehe 01/24/2022 asubuhi ktk 'BBC Swahili' kupitia RFA ilikuwa kweli au nilikuwa kwenye ndoto.

Mtangazaji aitwae R. Oditi amesema umbali kati ya dunia na jua ni kilometers mia na hamsini (150).

Na mbaya zaidi alirudia kusema hivyo mara kadhaa! Na mpaka mwisho wa kipindi chake hewani hakusahihisha usemi wake.

Hivi BBC nayo imeshakuwa radio mbao?
Milion 150km.
 
Kipindi jua linakuwa karibu na uso wa dunia huwa ni km milioni 149 na kipindi jua linakuwa mbali na uso wa dunia huwa ni km milioni 152. Ni makosa ambayo hutokea hata kwa mtaalam wa maswala ya unajimu au tafiti. Makosa hayo ni pindi anaeleza lakini sio kwenye maandishi
 
Pengine hukusikia vyema au kweli ilikuwa umesinzia.
Huenda walimanisha Million hizo kwenye namba ulizo taja

Rejea:

Umbali kutoka jua hadi dunia
Umbali kutoka kwa jua hadi duniani ni kilomita milioni 150, katika mwanga wa mwaka na hauzidi dakika nane na sekunde moja ya mwanga.

Ikiwa ni gari linalosafiri kwa kilomita 100 kwa saa, na kusafiri bila mapumziko, basi jua linaweza kufikia marudio yake katika miaka 106.

Ikiwa ndege itasafiri kilomita 246,960 kwa saa, kuna uwezekano wa saa 606 au siku 25 kusafiri kutoka duniani hadi Jua.
Hakusinzia ndugu hata mimi mwenyewe nilishangaa na alirudia kulitamka kama mara 2 hivi... Tuseme alisahau neno MILIONI..
 
Back
Top Bottom