BBC Swahili wadai umbali kati ya dunia na jua ni Kilomita 150

msamehe tu yaweza kuwa aliruka neno Million au pengine wewe hukusikia vizuri
 
Kwa iyo ina maana mvua ikitaka kunyesha inatoka izo tajwa
 
As noted earlier, Earth's average distance to the Sun is about 93 million miles (150 million kilometers)from the Sun. That's 1 AU.1 Feb 2020

So Kuna uwezekano alisahau kutaja hiyo millions au haukusikia. BBC hawawezi kukosea kizembe hivyo most likely haukusikia vizuri.
 
Mkuu nami nimeshangaa sana yule mtangazaji sijui hajui kusoma!!!
 
Huyu mtoto ana akili kuliko yule mtangazaji

 

Ndege gani ya kusafiri 246,960kmph? Kama ni passenger jets max ni 660mph/1021kmph.
 
msamehe tu yaweza kuwa aliruka neno Million au pengine wewe hukusikia vizuri
Sijui mna maana gani kusema 'asamehewe'? Au eti labda mimi sikusikia viziri?
Mimi sijasema aadhibiwe bali nimeonyesha ukosefu wa umakini Kwa matangazaji wa caliber ya BBC hatakiwi kusoma habari kama 'vuvuzela'.
 
Huwa naona watangazaji wengi duniani wakipata shida kusoma habari za kisayansi hasa zinazhitaji kusoma terminologies & numbers na vipimo tofauti tofauti (yard, cm, meter, futi, pound, Kgs) kwani unaona kabisa anavyo struggle; Si unajua hesabu ni janga la ulimwengu na sio kila kada inahitaji pass ya hesabu ili kuisomea....
 
Hata mimi nilishangaa sana
 
Maamuzi yake yaheshimiwe .. pengine hao wengine walitudanganyaga
 
Scientists sometimes call our region of space the "Goldilocks Zone" because it appears to be just right for life. As noted earlier, Earth's average distance to the Sun is about 93 million miles (150 million kilometers) from the Sun.1 Feb 2020
 
Bbc swahil sasa iv wamejaa wa kenya kibaooo kiukweli hata viswahil Wanavyo zungumza ni AIBU mara wachanganye kiss na engl yaan ni mvurugoooo

Simaanish ya kuwa hawafai, hapana ..ni wazi uongoz uliopo juu unajifanyiaa tu vitu

Ipo siku watakuja kuboronga zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…